NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
unishtue basi ukimuona,,,, michelle kule keshawasili..
Ngoja nimsubirie aje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nimsubirie aje
unishtue basi ukimuona,,,, michelle kule keshawasili..
Nilham, kuna jambo nataka kukuambia :A S kiss:
nambie abuy jambo gani hilo?? naona kama wasema kimajonzi..b free please...
Napita tu hommie:car:Natangaza yangu nia,
Kama utafikiria,
Kuweza nikubalia,
Jambo nitalokwambia...
Nimeanza na ushairi...
Typical Bongo...
Unalala maskini ukiamka tajiri!
Naamini Fidel hukuenda Mzambarauni kwanza ili utunukiwe hivyo vyeo vyote!!
Nawatakia kila la heri na sherehe njema.....Alichokibariki babu kimebarikiwa hata kwa Sir God!
Babu DC!
mkuu fidel80 uko juu sana.unawindwa badala ya kuwinda!!!
Babu amenieleza maneno yenye busara kwamba nitulie nisubiri siku ya sherehe ifike.Panapofoka moshi? ngoja nadhani itakua hiviiii :A S-fire1: au sio hivyo.
Namie naomba kukaribishwa kwenye hilo party.........Fidel80,si utanikubalia?
Mimi nina imani na wewe Babu DC sina imani na babu wa busara.
Kwa vile mm ni mwenyekiti wa kamati ya vinywaji karibu sana
Natangaza yangu nia,
Kama utafikiria,
Kuweza nikubalia,
Jambo nitalokwambia...
Nimeanza na ushairi...
Mkuu Fidel UMEDONDOKEWA nini?
finest nataka nikuulize swali.... huyu loveness naona kafanana fanana na michelle... eeenhee??? ngoja nimshtue damie hapa akae sawa sawa.... afunge na belt... ndege yataka ruka hiyo...
Aliokutuma mwambie hukunikuta bibie......:car: