Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Na wenye ukimwi sikuhizi ni waneneWatu wana konda na mengi lakini kibongo bongo mtu akikonda basi ana ngoma, ujinga huu sijui utatuisha lini, hawajui mtu anapitia magumu yapi wao wanajua kukonda ni VVU tu tena unakuta mingine ni misomi lakini bado inateta ujinga.
Kuna kipindi alifungua baa ya vinywaji vikali na kiti moto maeneo ya mwenge savei kwa Msekwa....Je alifunga ile baa?Fide aliugua kisukari kwa muda wa mwaka mzima na alikonda kweli.Pia pombe kali,bangi kwa sana na sigara zilimlostisha.alikosa dili ya kufanya uanamitindo Ufaransa napo ilimtesa sana(wanasema vipimo vilikataa) Kuhusu ngoma sina uhakika japo lisemwalo lipo ila siwezi kuhukumu.kama anao ama hana ni yeye na maisha yake.ameolewa na tajiri mmoja hapa Capetown.ni mtu wangu wa karibu sana so siwezi kusema zaidi.Anajishuhulisha na ushonaji wa nguo.na yupo mbali na media life na spotlight ya aina yoyote maana ndio masharti ya mume wake.hivi ndio anavyofanana kwa sasa.View attachment 1370833View attachment 1370834View attachment 1370835View attachment 1370836View attachment 1370837View attachment 1370838View attachment 1370839
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi Ilishafungwa....Kuna kipindi alifungua baa ya vinywaji vikali na kiti moto maeneo ya mwenge savei kwa Msekwa....Je alifunga ile baa?
Nahisi Ilishafungwa....
Tatizo mtu sjui maarufu Ukifungwa biashara kama hyo tegemea wazee wa Slope maana watakuja sjui wasanii etc wao syo walipaji ni mizingaaaa tu
Kama anty Ezekiel alifungua bar sjui lounge kwa mbwembwe kutwa wanajaaa wasanii Mwishowe yale yale
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulikuwa na fununu kitaa kipindi kileee, kwamba kaikanyaga, na Prof J wa mitulinga katafuna sana huu mzigo....
Ni kweli kabisa..Wapo waliomsema vibaya humu wakatangulia wao kufariki
MmhView attachment 1371213
Jamani Fide amepungua hadi amekwisha. Tatizo sijui ni ugonjwa au ndio diet , watu wamjini mtujuze. We unamwonaje kapendeza au kaharibu? Angalia picha nilizoattach
View attachment 1371211
Ila Mange ni old school sana kwenye hizi mambo [emoji23]Fide ni mgonjwa kutokana na habari mashoga zake wakaribu wanzao sambaza na ukweli ni kwamba hataki kukubaliana na hiyo hali na kwend akupata matibabu kwa hiyo anaishia kukonda na kuonekana kituko. Huo ugonjwa si yeye wa kwanza kuwa nao n ahata kaa awe wamwisho angejitokeza au kama hataki kujulikana atafute private hospital akapate tiba. Hizo picha zilipigwa na shoga yake alipoenda kumuona na zikaanza kusambazwa kwenye bb na mwisho wake kuangukia mikononi mwa Mange mama chaumbea aka mdaku wa mji asiyepitwa na jambo. 😠