Fideline Iranga amekuwaje?

Kapendeza tuache kumponda na kusema kuwa eti ana ugonjwa; nyie manaosema anaumwa nyie wazima? kaamua kukonda ni maisha yake haina sababu ya kuanza kumchambua. Au mnasahau unene ni ugonjwa..ameamua kupnda afya yake....
 
wabongo bana mtu akikonda tu mgonjwa. mnahusudisha mno ma obesity
 
haaaaa!!!!!!!!!!hii ni hatri hamna cha diet wala nini
lazima iko maneo ingine prof j atakuwa na data lol
 
inataka uwe na nyege mshindo kusimamisha kama kumbukumbu ya alivyokuwa zamani inakujia kitandani!!
 
Sio mchezo aiseee, ni hatari sana kwa kweli, sijui tusemeje hapa!
 
inataka uwe na nyege mshindo kusimamisha kama kumbukumbu ya alivyokuwa zamani inakujia kitandani!!

jamani tungejiuliza kulikoni kuliko kumuandikia maneno kama haya. mwenzetu anaonekana siyo wa kawaida. jamani tuwe na simile. yaliyomkuta, kama ni mgonjwa,basi hata sisi yanaweza kukupata.... usimcheke mkunga uzazi ungalipo
 
Fide ni mgonjwa kutokana na habari mashoga zake wakaribu wanzao sambaza na ukweli ni kwamba hataki kukubaliana na hiyo hali na kwend akupata matibabu kwa hiyo anaishia kukonda na kuonekana kituko. Huo ugonjwa si yeye wa kwanza kuwa nao n ahata kaa awe wamwisho angejitokeza au kama hataki kujulikana atafute private hospital akapate tiba. Hizo picha zilipigwa na shoga yake alipoenda kumuona na zikaanza kusambazwa kwenye bb na mwisho wake kuangukia mikononi mwa Mange mama chaumbea aka mdaku wa mji asiyepitwa na jambo. :angry:
 
kama ni diet namshauri bora astop,kama ni ugonjwa amwombe mola....
 

Acha umbeyaaa,izo picha zipo kwenye fb yake fide kaziweka mwenyewe n proud of them.usinyooshee watu vidole vinne vya kuangalia wewe
 
Sasa hapo ni umbea gani unaoongelea wewe wakati ndo habari zilizoko hapa mjini we vipi kama hujui mambo kaa kimya angalia movie. Ameamua kuziweka baada yakuona zimesha toka nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…