Fideline Iranga amekuwaje?

Sitashangaa inno, si unawajua maselebriti wetu walivyo? Akili ziko nyuma dk 10...

Huwa wanafikiri baada ya kutenda badala ya kufikiri kabla ya kutenda. Utandawazi unawaendesaha
 
hivi kinashowashangaza nini kwa huyu mdada,kama kupungua hajapungua ndani ya wiki tangu mwaka jana alikuwa anajipunguza kweli ubinaadam kazi!!!
 
Fide anahitaji kuongezeka kilo 5 anahitaji msaada maana anasema kakonda sana
 
View attachment 50207 Picha ya Fide leo kwenye party ya Martin Kadinda

Binadamu kweli tuna kazi...nikisoma comments za baadhi yetu kuhusu kuhusisha kupungua kwa Fide na ugonjwa naishia kusikitika tu..ndio maana huu ugonjwa unaendelea kushika kasi miongoni mwetu...mentality za wengi ni kuwa Obesity=excellent health is an absurd observation...na ndio maana jamii yetu sasa inakumbatia unene km nini sijui....haya sasa kazi kwetu....
 

Huyo aliyeenda kwa Fide na kumpiga picha kisha kuzisambaza ni rafiki au mzandiki...friends dont do that to each other...
 
Duh, huu ustar wa bongo bila hela ya maana nao ni balaa tupu
 
kama kapungua kwa hiyari yake huo ni uhuru wake,mradi awe ana furaha na kupungua kwake sema tu naona kama weusi wake sijui umekuaje,yaani ngozi yake imepoteza mvuto kwa kweli.
 
mwenzenu anawaza modelling career...am sure akipata right channels anaweza kurudi kny game kwa nguvu huko nje.b'coz she is unique....
 
Its her,

Aliugua almost mwaka mzima 2011, akawa anauguzwa kwa nduguze Mbezii. Tena alikuwa mkorofi na msumbufu sana, waliomuuguza kweli walipata mtihani. Sasa kaweza simama tena, madai DIET. Si kweli!

Ushauri wa bure kwako FIde.
Mungu kakupa Second Chance katika maisha yako, ishi siku zako ukilishika na kutenda neno lake. Nyoosha mapito yako, tubu na achana na wale marafiki wa zamani, waliokupotosha. Siku za duniani ni chache, za Mbinguni/ahera ni milele. Andaa Makazi yako ya milele sasa!!

KWA MUNGU HAKUNA UMAARUFU
 
kweli itakuwa aliumwa si bure, kupungua gan uku ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…