Fideline Iranga amekuwaje?


Aliugua ki-sugar au mambo yetu?
 
Ujuzo wango unaishia hapo kwani alikuwa akiuguzwa jirani na kwetu, siwezi toa ushuhuda wa kile alichougua. Ila tu ni one of the "chronic diseases" kama sikosei, as aliumwa "chronically" in a long term.

Namuombea heri na afuate ushauri wangu. Sio ushauri wa hao marafikize wanaomdanganya ajionyeshe kwa watu na ajifanye kajipunguza kwa diet. Wakati mwenzao anadozi bado na hatakiwi kuhangaika na kunywa pombe, wao wanamshikia akili.

Fide mama, kwa roho safi tu, hao hawakutakii mema. Zaidi ukianguka leo watafurahi tu na kuja wamejipodoa msibani ili wapate mabwana wapya.
 
jamani tuwekeeni picha yake hiyo ya kichina siikubali??
 

haya maisha ya sasa jamani there is no way unaweza kaaa ukamnyooshea mwenzako kidole..omba Mungu unavyoweza akupe nguvu na afya njema kwa siku zako apa duniani...unaweza kua unajidai unawako mmoja mwaminifu on the other side anakufanyia featuring...kukaa na kuanza kusemana semana ni ujinga...thread za fide kila leo zinaibuliwa kwani lipi la ajabu hapa ambalo no one of us hajawahi kumbana nalo?naomba tuache unafiki na upuuzi wa kijinga..tumuache dada wa watu aishi maisha yake...cha msingi Fide dada yangu simama na jikubali hali uliyonayo (kama ni kweli una hali iyo)....jipange upya..usiishi kwa kumfaidisha yeyote hapa duniani...fuata masharti uliyopewa na humefikia apo ulipofika kwa sababu ya uoga wako ama kudharau check-up...

kwa wale wenzangu na mie tusiojua status zetu mnaishia kunyoosha na kuanzisha thread daily...kaa chonjo!! at the end hali halisi itakuhukumu tu...there is no way utakwepa hali iyo..nenda kajue afya yako NOW...KUWA NA DOKTA WAKO NA FUATA MASHARTI uishi mda mrefu zaidi happily....n healthy...wapo wengi wanapiga mzigo mjini na hali zao walizijua mapema sio kusubiri kuumwa...............asanteni
 
tofauti ya bongo na mtoni!!!mtoni ukiwa maarufu ujue utajiri ndo rafiki yako ila bongo ukiwa maarufu jua maradhi ndo rafiki yako!!Mola tunusuru waja wako!picha kama hii ikibaki kichwani nadhani vicheche watakuwa maadui zako
 
o my days basi asinge kuwa ana smile maana ndo inaharibu kila kitu. Anyway I feel for her & hope she's doing something about her health
 
jamii kwa umbea Hamjambo.yani nawaamkia kabisa..Dada wa Watu haumwi ila ni mambo ya Modeling ili aweze kwenda sawa na ma modo wa kimataifa ilimpasa kupunguza mwili wake.inamaana nyeee mueona hizo tumbona zile za Bday ya Martin kandinda hamujaziweka ambazo anaoneka vizuri kiasi flani.Mshindwe na umbea wenu muwe unatafuta source ya habari na si kuguess tu hapa Nyo******** foooooo
 

Pole sana kwa kuumia......kumbe haumwi bana
 
..... kweli balack is BEAUTY..........! Anikumbusha IBRA WASHOKERA........ na zile simulizi zaka na MPINGO!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…