Fideline Iranga amekuwaje?


Huyu demu anaumwa kweli kama mtakumbuka miaka kama michache iliyopia alimtoaga boyfriend wake kwenye gazeti la udaku Marehemu Noel Nyangezi RIP baada ya kumfumania RG. watu wote wanajua kilichomuua Noel ni haya mambo ya leo. Pia huyu dada huwa anajiuza pale RG sana tu.
 

Ni kweli na wala sio umbea katika hili........Noel was a buddy of mine
 
kama alivo pungua unene, nywele zake zikawa za kisomali na akawa na ugonjwa wa midoma na ngozi atakuwa anaugua........., kama hakuna dalili zozote kama hizo atakuwa ana keep........, kama hana nia ya ku keep..... atakuwa ana bonge la DEPRESSION!!
 
balaa, nilikutana nae mlimani city one day nilimshangaa hadi mwenywe kajistukia
 
jamani fide amepungua had amekwisha. Tatizo sijui ni ugonjwa au ndo diet , watu wamjini mtujuze. We unamwonaje kapendeza au kaharibu? Angalia picha nilizoattach

no second thought hiyo ni ngwengwe bila kutafuna maneno.
 
jamani fide amepungua had amekwisha. Tatizo sijui ni ugonjwa au ndo diet , watu wamjini mtujuze. We unamwonaje kapendeza au kaharibu? Angalia picha nilizoattach
Inno tafadhali acha kupost picha za vitisho humu!ame modify mpaka rangi ,naoogoopa!maana alivyo kuwa anapenda kujinusu uchi na sasa full wraps inanifikirisha!
 
Hivi huyu dada yuko wapi siku hizi jamani? Ama kweli kila kitabu na zama zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…