Fideline Iranga amekuwaje?

Wekeni picha zinazomuonyesha vzr hapo mbona giza?
 
Kuna Mdada mmoja alimsema fide anamfahamu kuwa fide ameathirika maneno kibao. Sasa hivi huyo mdada yupo hoi kwa gonjwa hilohilo alilokuwa akimsema mwenzie.dunia hii mambo ya kunyoosheana watu vidole wakati hujui wewe yako yatakuaje
 
Umeandika kitu kizuri sana.

Hii ndio JF ya miaka hiyo.
 
Yupo anauza bia savei ndani ndani..kumbe alishawahi Kuwa celeb
 
Alikuwa hatari,fide fide kweli,super model ,maisha haya


Alikua mwanamitindo


Fedeline Iranga u-super model kautolea wapi? Au uanamitindo gani alikuwa anaufanya? Huyu mama ni changudoa kitambo sana. Alikuwa anauza nyapu miaka ya 97/98 pale Garden Avenue, kipindi hiyo Embassy Hotel bado inafanyakazi. Ni miaka ishirini ishapita tangu tulivyokuwa tunamuona anajiuza pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…