Fidia ya ajali ya kugonga gari la mtu

Fidia ya ajali ya kugonga gari la mtu

Neem tree

Member
Joined
Feb 24, 2014
Posts
60
Reaction score
25
Jamani wanajamvi habarini za muda huu. Naombeni msaada kuhusu fidia ya kulipia gari lililogongwa na sheria inasemaje kuhusu matengenezo ya magari yaliyogonga. Msaada wenu please. Naomba kuwasilisha.
 
Jamani wanajamvi habarini za muda huu. Naombeni msaada kuhusu fidia ya kulipia gari lililogongwa na sheria inasemaje kuhusu matengenezo ya magari yaliyogonga. Msaada wenu please. Naomba kuwasilisha.
Kama huna comprehensive huo ni msala.
 
Hizo zipo na jamaa kasema nimtengenezee ila anadai kupeleka sehem anayotaka yeye je ni sawa kuchangua garage?
Ajali ni kubwa inazidi laki 3? Bima ya kampuni gani? Mambo yote ya polisi tayari?
 
Ndio ni zaidi ya laki 5 na polisi tayari bima ya ni Zanzibar insurance
 
Back
Top Bottom