Fidia ya Kusitishiwa Mkataba kwa Waajiriwa wa Kudumu

Fidia ya Kusitishiwa Mkataba kwa Waajiriwa wa Kudumu

BussyB

Member
Joined
Oct 2, 2012
Posts
24
Reaction score
4
Salaam kwa Wadau wote!

Nahitaji msaada wenu kwa wataalamu wa Sheria za Ajira!
Mimi nimeajiriwa katika kampuni binafsi kwa mkataba wa KUDUMU( PERMANENT CONTRACT) tangu mwaka 2013, mwaka jana mwishoni tulipewa taarifa kuwa KAMPUNI imepata mnunuzi ambaye amenunua SHARES zote kwa 100% kwa hiyo taratibu zinafanyika ili waweze kukabidhiana kwa kufuata sheria za TANZANIA, tulipewa taarifa kuwa shughuli za kiofisi na majukumu ya kila mfanyakazi yataendelea kama kawaida kwa kipindi chote tunachosubiri makabidhiano rasmi ya mauziano kwa wahusika!
Msaada ninaohitaji toka kwenu ni kujua je ni FIDIA au MAFAO gani ambayo nitayapata kwa KUSITISHWA MKATABA wangu katika MAZINGIRA Haya endapo mnunuzi hatanihitaji kuendelea na mkataba wangu, je endapo atanihitaji kuendelea nami je itabidi nisaini mkataba mwingine au itakuwaje maana MNUNUZI kwa mujibu wa taratibu zake za AJIRA hatoi MIKATABA ya KUDUMU na anatumia AGENT katika KUAJIRI!!

Natanguliza shukrani

BussyB
 
Mkuu hapo kama ni termination kuna stahiki zako unatakiwa upewe,
  1. Basic Salary to date (Working Days) - Hapa unatakiwa kujua payroll inafungwa lini kwenye kampuni yenu mfano kama payroll wanafunga tarehe 18 ya kila mwezi,then count days up to date kisha chukua basic yako gawanya kwa 30.333 then times by number of working days.
  2. Severance - Hii ni kama umefanya kazi umetimiza mwaka (Kila mwaka una siku 7 za severance) so kama umetimiza miaka mi3 manayake una siku 21. So unachukua basic yako/30.33 unazidisha na number of days.
  3. Leave days. Kila mwezi kuna leave days 2.33 so chukua miezi yote uliyokaa kazini zidisha kwa 2.33 kisha toa siku ulizoenda likizo toka umeajiliwa (kama una record).
  4. 28 days notice kama wao wamekuterminate.
  5. Nauli ya kwenda na kurudi sehemu uliyotokea kama inavyo onesha kwenye contract.
    Kisha add 1,2,3,4 sum yake toa nssf/any kisha deduct PAYE then hicho ndo utakachostahili. Nadhani nimekusaidia kwa kiasi flani.Am stand to be corrected.
 
Mkuu hapo kama ni termination kuna stahiki zako unatakiwa upewe,
  1. Basic Salary to date (Working Days) - Hapa unatakiwa kujua payroll inafungwa lini kwenye kampuni yenu mfano kama payroll wanafunga tarehe 18 ya kila mwezi,then count days up to date kisha chukua basic yako gawanya kwa 30.333 then times by number of working days.
  2. Severance - Hii ni kama umefanya kazi umetimiza mwaka (Kila mwaka una siku 7 za severance) so kama umetimiza miaka mi3 manayake una siku 21. So unachukua basic yako/30.33 unazidisha na number of days.
  3. Leave days. Kila mwezi kuna leave days 2.33 so chukua miezi yote uliyokaa kazini zidisha kwa 2.33 kisha toa siku ulizoenda likizo toka umeajiliwa (kama una record).
  4. 28 days notice kama wao wamekuterminate.
  5. Nauli ya kwenda na kurudi sehemu uliyotokea kama inavyo onesha kwenye contract.
    Kisha add 1,2,3,4 sum yake toa nssf/any kisha deduct PAYE then hicho ndo utakachostahili. Nadhani nimekusaidia kwa kiasi flani.Am stand to be corrected.
Asante sana kwa ufafanuzi wako mkuu
 
Mkuu hapo kama ni termination kuna stahiki zako unatakiwa upewe,
  1. Basic Salary to date (Working Days) - Hapa unatakiwa kujua payroll inafungwa lini kwenye kampuni yenu mfano kama payroll wanafunga tarehe 18 ya kila mwezi,then count days up to date kisha chukua basic yako gawanya kwa 30.333 then times by number of working days.
  2. Severance - Hii ni kama umefanya kazi umetimiza mwaka (Kila mwaka una siku 7 za severance) so kama umetimiza miaka mi3 manayake una siku 21. So unachukua basic yako/30.33 unazidisha na number of days.
  3. Leave days. Kila mwezi kuna leave days 2.33 so chukua miezi yote uliyokaa kazini zidisha kwa 2.33 kisha toa siku ulizoenda likizo toka umeajiliwa (kama una record).
  4. 28 days notice kama wao wamekuterminate.
  5. Nauli ya kwenda na kurudi sehemu uliyotokea kama inavyo onesha kwenye contract.
    Kisha add 1,2,3,4 sum yake toa nssf/any kisha deduct PAYE then hicho ndo utakachostahili. Nadhani nimekusaidia kwa kiasi flani.Am stand to be corrected.

!
!
Mpwa naomba ufafanuzi zaidi. Kwa basic Salary ya 1,000,000.00 na miaka 4 ya kufanya kazi..... Mahesabu yake yatakuwaje
 
!
!
Nimeshaenda likizo nzima mara moja, tatu mfululizo nilipewa nusu,. Kwa hiyo kwa hesabu za haraka nadai likizo moja full mpaka sasa.

Section 31(1) ya Sheria ya Mahusiano ya Kazini, Act. No. 6/2004 inasema hivi: {An employer shall grant an employee at least 28 consecutive days' leave in respect of each leave cycle, and such leave shall be inclusive of any public holiday that may fall within the period of leave.}

Sheria inakutaka ukianza likizo utumie siku zote 28 mfululizo (consecutive), yaani ukienda likizo February 01 basi utumie likizo hadi February 28 na kama ni mwaka mfupi basi urejee kazini March 01.

Sasa wewe ulipewaje likizo nusunusu, maana yake wewe na mwajiri wako mlikuwa na makubaliano ya kijinga ambayo hayatambuliki kisheria. Hebu tufafanulie ingawa ujinga huu ndiyo umeenea sana maofisini.
 
!
!
Kwa hiyo nadaj angalau siku ishirini na nane..... Sijawahi pewa chochote kile zaidi ya mshahara huo.

Asante sana kwa ufafanuzi wako mkuu

Kama leave days ni 2.33 kwa kila mwezi na sheria inalaziimisha kila mwaka kuwe na leave basi maana yake hata kama employee hukwenda leave mwaka mzima huwezi kupata leave accrue ya zaidi ya siku 27, kwani mahesabu kwa formula yako ni kwamba kuna miezi 12 na kila mwezi una 2.33. Hivyo (2.33 x 12 = 27.96).

sasa ajabu kuna kampuni unakuta mtu kaandikiwa kulipwa accrue ya siku 32! Mzee jadili hili.
 
Section 31(1) ya Sheria ya Mahusiano ya Kazini, Act. No. 6/2004 inasema hivi: {An employer shall grant an employee at least 28 consecutive days' leave in respect of each leave cycle, and such leave shall be inclusive of any public holiday that may fall within the period of leave.}

Sheria inakutaka ukianza likizo utumie siku zote 28 mfululizo (consecutive), yaani ukienda likizo February 01 basi utumie likizo hadi February 28 na kama ni mwaka mfupi basi urejee kazini March 01.

Sasa wewe ulipewaje likizo nusunusu, maana yake wewe na mwajiri wako mlikuwa na makubaliano ya kijinga ambayo hayatambuliki kisheria. Hebu tufafanulie ingawa ujinga huu ndiyo umeenea sana maofisini.
Mkuu kwa serikalini hiyo argue yako ni sawa, lakini kwa private sector huwezi chukua likizo ya 28 days kwa sababu
  1. Unaweza kuwa ni mtu muhimu sana kwenye kitengo chako
  2. Project inaweza kuwa ni short time let say 1.5yrs
  3. Likizo zako usizoenda zinalipwa at the end of contract so inaweza kua unachukua leave kidogo ili kufanya savings.
 
Kama leave days ni 2.33 kwa kila mwezi na sheria inalaziimisha kila mwaka kuwe na leave basi maana yake hata kama employee hukwenda leave mwaka mzima huwezi kupata leave accrue ya zaidi ya siku 27, kwani mahesabu kwa formula yako ni kwamba kuna miezi 12 na kila mwezi una 2.33. Hivyo (2.33 x 12 = 27.96).

sasa ajabu kuna kampuni unakuta mtu kaandikiwa kulipwa accrue ya siku 32! Mzee jadili hili.
Kuwa na accrue ya siku 32 au zaidi inategemea na makubaliano yako na mwajiri wako,mfano anaweza kukwambia njoo ufanye kazi holiday ila hakulipi overtime anakulipa leave day.
 
Mkuu kwa serikalini hiyo argue yako ni sawa, lakini kwa private sector huwezi chukua likizo ya 28 days kwa sababu
  1. Unaweza kuwa ni mtu muhimu sana kwenye kitengo chako
  2. Project inaweza kuwa ni short time let say 1.5yrs
  3. Likizo zako usizoenda zinalipwa at the end of contract so inaweza kua unachukua leave kidogo ili kufanya savings.
Kaka,

Private Sector ndiko kuna majibu ya kijinga kama hilo walilokufundisha. Private sector asiyetaka kuwekeza katika nchi yake basi aondoe vitega uchumi vyake aka-invest kwingine ambako hakuna sheria hii.

Ukisema Private sector haiwezekani basi unamaanisha wako juu ya sheria. Hebu wakunyime likizo halafu uende mahakamani uone cha moto chake halafu rudi hapa JF tuone kama utazungumza hiyo lugha!

Sheria ni juu hata ya Rais wa nchi, achilia mbali private sector ambao tumewapa leseni za biashara kwa sheria hizihizi!
 
Kuwa na accrue ya siku 32 au zaidi inategemea na makubaliano yako na mwajiri wako,mfano anaweza kukwambia njoo ufanye kazi holiday ila hakulipi overtime anakulipa leave day.

Kaka,
Kitu kikishaandikwa kwenye sheria hakuna tena cha makubaliano. Sheria ndiyo makubaliano ya mwisho. Hebu peleka mgogoro kwenye vyombo vya sheria, halafu useme ni makubaliano na uone moto wake.

Fuata sheria usipate matatizo kama wewe ni mwajiri.
 
Kaka,

Private Sector ndiko kuna majibu ya kijinga kama hilo walilokufundisha. Private sector asiyetaka kuwekeza katika nchi yake basi aondoe vitega uchumi vyake aka-invest kwingine ambako hakuna sheria hii.

Ukisema Private sector haiwezekani basi unamaanisha wako juu ya sheria. Hebu wakunyime likizo halafu uende mahakamani uone cha moto chake halafu rudi hapa JF tuone kama utazungumza hiyo lugha!

Sheria ni juu hata ya Rais wa nchi, achilia mbali private sector ambao tumewapa leseni za biashara kwa sheria hizihizi!
Mkuu nahisi hujanielewa hapo ungesoma hizo sababu si kwamba hauwezi kupewa hizo siku 28 ila mfano ukipata msiba huwezi kuchukua siku 28 zote wakati unaenda kukaa siku 3 tu, pia risk ni kubwa ya kupoteza kazi mana wao wanaweza kuweka mtu mwingine kwenye position yako.
 
Kaka,
Kitu kikishaandikwa kwenye sheria hakuna tena cha makubaliano. Sheria ndiyo makubaliano ya mwisho. Hebu peleka mgogoro kwenye vyombo vya sheria, halafu useme ni makubaliano na uone moto wake.

Fuata sheria usipate matatizo kama wewe ni mwajiri.
Huenda uko deep sana logically ila practically bado hujajua vizuri, kuna hadi makubaliano ya payment under desk. sheria ya ajira ni mwongozo ila client anaweza fanya amendment kulingana na nature ya project bila kuathiri sheria za nchi.
 
Section 31(1) ya Sheria ya Mahusiano ya Kazini, Act. No. 6/2004 inasema hivi: {An employer shall grant an employee at least 28 consecutive days' leave in respect of each leave cycle, and such leave shall be inclusive of any public holiday that may fall within the period of leave.}

Sheria inakutaka ukianza likizo utumie siku zote 28 mfululizo (consecutive), yaani ukienda likizo February 01 basi utumie likizo hadi February 28 na kama ni mwaka mfupi basi urejee kazini March 01.

Sasa wewe ulipewaje likizo nusunusu, maana yake wewe na mwajiri wako mlikuwa na makubaliano ya kijinga ambayo hayatambuliki kisheria. Hebu tufafanulie ingawa ujinga huu ndiyo umeenea sana maofisini.

!
!
Anko hapa huwa kuna form mnajaza na unajaza kila kitu, sasa inapitia maeneo mbalimbali na mwisho ni Director. Director ana tabia ya kukata siku za likizo ukiomba 28 anaidhinisha kumi na nne tu. Nyingine zinaandikwa balance. Ni kama hivyo mkuu
 
Mkuu kwa serikalini hiyo argue yako ni sawa, lakini kwa private sector huwezi chukua likizo ya 28 days kwa sababu
  1. Unaweza kuwa ni mtu muhimu sana kwenye kitengo chako
  2. Project inaweza kuwa ni short time let say 1.5yrs
  3. Likizo zako usizoenda zinalipwa at the end of contract so inaweza kua unachukua leave kidogo ili kufanya savings.
!
!
Whatever the case it might be, naweza pata mahesabu yangu? Natamani nijue
 
Back
Top Bottom