Fidia ya usumbufu kwa makampuni ya simu

Fidia ya usumbufu kwa makampuni ya simu

UGOKO MKAVU

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
202
Reaction score
78
Jana mtandao wa voda uligoma kutokana na hitilafu iliyotokea katika mitambo yao na hivyo kuleta usumbufu kwa wateja wake mmoja wapo ni mimi. Ina maana kuwa shughuli zote za kibiashara zilizohusisha mtandao huu zilisimama kwa masaa kadhaa....Je, kuna sheria yeyote inayosimamia kulipwa fidia kwa wateja endapo dhahama kama hii itatokea?
 
Back
Top Bottom