Hb wa Ilala
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,189
- 1,217
..its Because u Guys beleive u Are some how special ndo maana,anyway I Just wanted to get the theme of the thread Hakika nmeielewaRacists,anti Islam,brutal and Cruel imported Killers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..its Because u Guys beleive u Are some how special ndo maana,anyway I Just wanted to get the theme of the thread Hakika nmeielewaRacists,anti Islam,brutal and Cruel imported Killers
Mapinduzi matukufu watu wanakula mlo moja kwa siku kama mashetani??Mapinduzi tukufu ni hali ya wazalendo wa nchi kufanya mabadiliko ya uongozi dhalimu kwa njia ya mapambano iwe ya kumwaga damu au bila kumwaga damu.
Ndivyo mnavyoukimbiza mwenge namna hiyo?Jibu kama mwanaume acha mipasho.
Kwani mwenge huwa mnaukimbiza watu wangapi??Nchi nzima ya Zanzibar ilipinduliwa na watu sita?
Sultani na wajukuu zake wote waliofukuziliwa mbali na mkristu okelloKwani mwenge huwa mnaukimbiza watu wangapi??
Sultani na wajukuu zake wote waliofukuziliwa mbali na mkristu okello
Alikuwa yule mvamizi aliokimbizwa na okeloKweli umechoka kwani usiku ukicheza ngoma na asubuhi unakimbiza mwenge , hivi mwenge mliukimbiza watu wangapi??
Alikuwa yule anayekimbia na mwenge huku akichangia mafuta yake ,huku wazee wa ccm wakijiuzia migodiAlikuwa yule mvamizi aliokimbizwa na okelo
Mleta uzi hivi upo timamu kweli, unaposema Zanzibar isingeungana na Tanganyika. You would have been better off....
Kama wewe ni mzanzibari basi mtazamo wako ni finyu mno.
Jamani amenukuu kutoka kwenye kitabu kilichoandikwa na balozi wa zamani wa Marekani, sasa badala kumjibu balozi mnamtukana mjumbe.Andiko lako ni controversial
Kuna muda inabidi utofautishe Uislamu na Waislamu...siyo kila alifanyalo Muislamu ni la kiislamu..Nyingine silka binafsi au za jamii husika..na watu hupenda kulijumuisha jambo lake na dini/kabila/rangi ili apate support....Sijui kuna uhusiano gani kati ya uislam na kulalamika kuonewa...anyway_ntajaribu kufanya utafiti wa hilo.
Maake waislam kwa kulalamika kuonewa mmezidi.