Fiesta Dar, Dr Shika awepo

Fiesta Dar, Dr Shika awepo

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
1,527
Reaction score
3,811
Ruge, sikia kilio chetu

Sisi wapenzi wa Fiest tunahitaji Dr Shika awepo siku ya Fiesta.

Mnazima taa, muziki unazimwa. Panakuwa kimyaaaaaaaa

Mkija kuwasha taa raia wanamuona Dr Shika juu ya stage, shangwe lake sio la nchi hii

Tafadhali sana Ruge, mlete jamaa. Sema usimtumie bila malipo brother
 
Ruge, sikia kilio chetu

Sisi wapenzi wa Fiest tunahitaji Dr Shika awepo siku ya Fiesta.

Mnazima taa, muziki unazimwa. Panakuwa kimyaaaaaaaa

Mkija kuwasha taa raia wanamuona Dr Shika juu ya stage, shangwe lake sio la nchi hii

Tafadhali sana Ruge, mlete jamaa. Sema usimtumie bila malipo brother
Nimependa hapo ulipozungumzia suala LA malipo.Muhim sana.
 
Ruge, sikia kilio chetu

Sisi wapenzi wa Fiest tunahitaji Dr Shika awepo siku ya Fiesta.

Mnazima taa, muziki unazimwa. Panakuwa kimyaaaaaaaa

Mkija kuwasha taa raia wanamuona Dr Shika juu ya stage, shangwe lake sio la nchi hii

Tafadhali sana Ruge, mlete jamaa. Sema usimtumie bila malipo brother
Kweli itapendeza maana atafunika uwepo wa Mako kule Efm
 
Ruge, sikia kilio chetu. Sisi wapenzi wa Fiest tunahitaji Dr Shika awepo siku ya Fiesta.Mnazima taa, muziki unazimwa. Panakuwa kimyaaaaaaaa. Mkija kuwasha taa raia wanamuona Dr Shika juu ya stage, shangwe lake sio la nchi hi. Tafadhali sana Ruge, mlete jamaa. Sema usimtumie bila malipo brother
WHY not, ana make an "Appearance", sababu ni Celeb wetu sasa, na ndio lazima Ruge akate mchuzi, ITAPENDEZA ZAIDI..
 
Back
Top Bottom