FIESTA: Hii haikubaliki!

FIESTA: Hii haikubaliki!

Nimeamini upeo wa watanzania katika kuelewa mambo ni mdogo sana.!!

Sisi watanzania ni wagumu sana kuelewa vitu.... ,hata sioni sababu ya mtu kuja hapa na kumwaga povu lote hili kwa hoja zisizo na msingi!

Kwanza kama wasanii wenyewe wamekubali wewe kinachokuuma ni nini?

Na hawajasema wanafanya usahili ni USAJILI,hilo neno limetumika vibaya tu ila kwa maana nyingine WANASAINISHA WASANII MIKATABA KWAAJILI YA FIESTA.
Hao Clouds wanaofisi, msanii si mtu mdogo kama unavyotaka kuaminisha watu....hiyo hapo ni biashara kubwa sana kwa Clouds....atleast heshimu anayekupa kula

Walishindwa nini kuwaita mmoja mmoja tena ofisini tena mbele ya Mawakili(wataalamu) wa mikataba wakawasainisha privately then wakafanya hata pre fiesta party ya kuwatambulisha?

Kuwakusanya hivyo ni kuwadharaulisha kwa mashabiki wao...nchi za watu wastaarabu wanaoheshimu talents za watu hawafanyi dharau hizo.

Mwisho wa siku wanaenda kuwajaza kwenye dala dala na kuwazungusha tanzania nzima kama kundi la wanafunzi walio kwenye study tour....

Inashangaza!
 
Hao Clouds wanaofisi, msanii si mtu mdogo kama unavyotaka kuaminisha watu....hiyo hapo ni biashara kubwa sana kwa Clouds....atleast heshimu anayekupa kula

Walishindwa nini kuwaita mmoja mmoja tena ofisini tena mbele ya Mawakili(wataalamu) wa mikataba wakawasainisha privately then wakafanya hata pre fiesta party ya kuwatambulisha?

Kuwakusanya hivyo ni kuwadharaulisha kwa mashabiki wao...nchi za watu wastaarabu wanaoheshimu talents za watu hawafanyi dharau hizo.

Mwisho wa siku wanaenda kuwajaza kwenye dala dala na kuwazungusha tanzania nzima kama kundi la wanafunzi walio kwenye study tour....

Inashangaza!
Hebu soma tena ulichokiandika mkuu.
Nadhani una chuki binafsi na uongozi wa CLOUDS.
 
Hebu soma trna ulichokiandika mkuu.
Nadhani una chuki binafsi na uongozi wa CLOUDS.
Kutokuwapenda tu siwapendi kiukweli....lakini hiyo ni mada nyingine anzisha thread nitakujibu

Jikite kwenye mada husika....CLOUDS FIEASTA.
 
Unahisi ulichokiandika ni sahihi?
Je upo sahihi kuwatukana waTanzania wote kwa kutumia thread hii kweli?
Pumbavu mkubwa wewe.
Nimeamini upeo wa watanzania katika kuelewa mambo ni mdogo sana.!!

Sisi watanzania ni wagumu sana kuelewa vitu.... ,hata sioni sababu ya mtu kuja hapa na kumwaga povu lote hili kwa hoja zisizo na msingi!

Kwanza kama wasanii wenyewe wamekubali wewe kinachokuuma ni nini?

Na hawajasema wanafanya usahili ni USAJILI,hilo neno limetumika vibaya tu ila kwa maana nyingine WANASAINISHA WASANII MIKATABA KWAAJILI YA FIESTA.
 
As per thread ya Compact anasema kwamba wasanii kama Navy Kenzo Fid Q na weusi leo wanafanyiwa usahili ili tu kushiriki tamasha la FIESTA, hii imenishangaza kidogo,

Hivi hii FIESTA ina nini mpaka hawa major Artists waweze kupanga foleni na kufanyiwa usahili ili wafuzu kuwa kwenye hiyo tour?

Clouds wasitake kujifanya wanamiliki hii industry kwamba wanaweza ku order wasanii kufanya wanavyotaka....na nyinyi wasanii amkeni acheni kuwaabudu hao clouds hawana lolote zaidi ya kuwashushia heshima yenu tu....kuna media nyingi sahivi achen kumuabudu huyo Ruge na Clouds yake
Usajili wa wasanii Fiesta 2016
Mkuu labda Ulisoma vibaya. Mimi sikuandika USAHILI. Niliandika USAJILI kabisa. Sijafanya corrections zozote kwenye Uzi wangu. Ila anyway,labda nilikosea.

Kama nilikosea basi naomba Marekebisho hapo juu yahusike.
Uzi wenyewe huu hapa
Usajili wa wasanii Fiesta 2016
 
Mnapoooonda si shangai wabongo wengi wanafki ukichunguza bongo, vinavyo pondwa ndivyo vinavyo pendwa na watu wengi. Mimi si shangai wanchofanya cloudsfm ni kucreate attention kwa tamasha lao, sijaona kudhalilishwa kwa msanii yoyote, je na kama wasingefanya usajili, wangefanya kama wafanyavyo miaka yote watu bado wangeongea. Taifa letu hasa vijana limekuwa taifa la walalamikaji na wapondaji tubadilike.
 
Watu wamesoma degree zao kabla ya vibarua wanafanyiwa usaili, itakuwa hawa waimba vuduku, we vipi?
 
Huyu ndugu yetu shoo za vichochoroni hafanyi ........ au ni vile ana mkataba na Vodacom na kule fiesta kuna tigo.
 
Jaman naomba kuuliza ni vipi mnasema hii redio inawanyonya hao wasanii kwa sheria zp zilizopo hapa bongo hazitekelezwi ambazo redio mawingu haizifati kwa masirahi ya hao wasanii
 
Back
Top Bottom