mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Aisee Fiesta ni show ambayo inakutanisha wasanii wakubwa sana tena wengi kwa pamoja lakini ni show yenye hadhi ndogo kabisa kuwah kutokea. Ni show ambayo mtu mwenyebkipato hutataka kuhudhuria. Ni show ambayo hata mahali inapofanyika hakuna hadhi
Ona list ifuatayo ndio aina ya makundi makubwa yaudhuriao fiesta. Kama unapinga toa facts
1. Boda boda: show ya fiesta ni show inayojaa maboda boda ambao ni watu wa hadhi ya chini
2. Secondary school student: asilimia 50 ya wahudhuriaji wa fiesta ni watoto wa secondary form 1 hadi form 4.
3. Vibaka: siku ya fiesta vibaka wote mjini huudhuria tamasha hilo ambalo wao hutengeneza faida kubwa kwa kuwaibia wengine.
4. Watu walioshindwa shule na kujifanya wanamuziki wakitafuta chimbo la kutoka, fiesta inahudhuriwa na wasanii underground wengi smbao wanatsks kutoka
5. Makahaba wanaojiuza, hawa huwa wote wanahamia fiesta siku ya fiesta ili wapate madanga.
6. Watu wenye hadhi zao ambao huwa ni asilimia moja tu na hii ni kwasababu either wanafanya biashara katika tamasha hili au wamepews kadi za bure za mwaliko na ruge
Ona list ifuatayo ndio aina ya makundi makubwa yaudhuriao fiesta. Kama unapinga toa facts
1. Boda boda: show ya fiesta ni show inayojaa maboda boda ambao ni watu wa hadhi ya chini
2. Secondary school student: asilimia 50 ya wahudhuriaji wa fiesta ni watoto wa secondary form 1 hadi form 4.
3. Vibaka: siku ya fiesta vibaka wote mjini huudhuria tamasha hilo ambalo wao hutengeneza faida kubwa kwa kuwaibia wengine.
4. Watu walioshindwa shule na kujifanya wanamuziki wakitafuta chimbo la kutoka, fiesta inahudhuriwa na wasanii underground wengi smbao wanatsks kutoka
5. Makahaba wanaojiuza, hawa huwa wote wanahamia fiesta siku ya fiesta ili wapate madanga.
6. Watu wenye hadhi zao ambao huwa ni asilimia moja tu na hii ni kwasababu either wanafanya biashara katika tamasha hili au wamepews kadi za bure za mwaliko na ruge