Apta Kayla
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 324
- 73
Ndugu yangu hivi kweli umeamua kuripoti Fiesta humu Jamvini?Mtaniwia radhi mi si shabiki wa mziki wa vijana hasa hawa wabana pua na kujikoboa sura!<br />
<br />
Naona show zinaendelea japo wasanii siwajui hata mmoja kabisa!
umecrem kuwa JF ni mambo ya ccm na chadema tu?Ndugu yangu hivi kweli umeamua kuripoti Fiesta humu Jamvini?
<br />Ndugu yangu hivi kweli umeamua kuripoti Fiesta humu Jamvini?
<br />Mtaniwia radhi mi si shabiki wa mziki wa vijana hasa hawa wabana pua na kujikoboa sura!<br />
<br />
Naona show zinaendelea japo wasanii siwajui hata mmoja kabisa!
<br />umecrem kuwa JF ni mambo ya ccm na chadema tu?
<br />Hivi hawa watumbuizaji wanaimba music au wanasikiliza music
Bandugu mwenye kujua maana ya hili neno anisaidie (CREM)umecrem kuwa JF ni mambo ya ccm na chadema tu?
<br />Nipo zangu naangalia itv Bss
<br />Bandugu mwenye kujua maana ya hili neno anisaidie (CREM)