fiesta....

fiesta....

Dah... Huyu demu wa kibongo kashamkosa mshikaji ,jamaa mnigeria kauvu hata hakutaka kwenda kucheza na papuchi ya kibongo
 
Mimi nawafahamu. Maneno ni mengi kuliko vitendo. Wasanii wa bongo hawawezi kufanya vizuri sababu hela wanayo pewa haiwatoshi. So wakishapewa mwaliko wanaona hawawezi kukataa hela so wanaendelea na mishemishe zao mwisho wa siku wanapanda jukwaani hadi mistali ya nyimbo zao wanaisahau. Mimi siwalaumu. Ilitakiwa wawape hela ya kuwaweka kambini wafanye mazoezi sasa wewe laki mbili utaifanyia nini?
mapacha waliwahi kuwauliza kwenye interview ya clouds nyinyi mnapendwa kukipwa kiasi gani fiesta? wakasema mil 250. Tangia siku hiyo hawajaitwa kwenye interview wala fiesta mia
😛lane:
 
mimi nawafahamu. Maneno ni mengi kuliko vitendo. Wasanii wa bongo hawawezi kufanya vizuri sababu hela wanayo pewa haiwatoshi. So wakishapewa mwaliko wanaona hawawezi kukataa hela so wanaendelea na mishemishe zao mwisho wa siku wanapanda jukwaani hadi mistali ya nyimbo zao wanaisahau. Mimi siwalaumu. Ilitakiwa wawape hela ya kuwaweka kambini wafanye mazoezi sasa wewe laki mbili utaifanyia nini?
Mapacha waliwahi kuwauliza kwenye interview ya clouds nyinyi mnapendwa kukipwa kiasi gani fiesta? Wakasema mil 250. Tangia siku hiyo hawajaitwa kwenye interview wala fiesta mia
😛lane:

mbona naskia wanachukua laki 5 kila wapandapo jukwaa la fiesta.....
 
Kila mtu analipwa kulingana na Thamani yake... tena siku hizi wameboresha sana taratibu za malipo.
 
hehe heeheeee

fiesta fiesta fiesta...
hehe heiyaaaaa... kesho cjui watabwabwaja nini kina kibonde lolz
 
Back
Top Bottom