FIFA Confederations Cup 2009

Kaká naona kakumbana na vigingi vya kiafrika.

Brazil wanaanza mashambulizi, dakika ya 75 hiyo inakwenda
 
Brazil watashinda kwa kuwa ni wazoefu but South Africa wamecheza inavyotakiwa
 
Brazil watashinda kwa kuwa ni wazoefu but South Africa wamecheza inavyotakiwa
Mkuu si mpaka washinde basi?

Mziki mnene huu, dakika ya 78 inakwenda. Naona Zuma yupo kuwatia moyo vijana
 
Alves kawapatia bao dakika ya 87, ilikuwa free kick ambayo imeenda moja kwa moja wavuni!
 
The game is over, SA out!

Final ni Brazil vs US.

Mshindi ni Brazil (as I can bet!)
 
Hongereni SA mmejitahidi manake mmeonyesha soka safi ila bahati sio yenu, taifa star nao wajitahidi jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…