FIFA confederations cup:Russia 2017 kick off!

FIFA confederations cup:Russia 2017 kick off!

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
RUSSIA VS. NEW ZEALAND!Shikamoo wakuu,kipenga ndo kimepulizwa,haya bas nangoja maoni yenu na mipasho pia!Shukran.
 
Hii ungepost kule jukwaa la Sports ingechangamkiwa sana! Hapa sidhani
 
RUSSIA 1:NEW ZEALAND 0 Bao la Glushakov limewapa Russia motisha aisee,dakika za mbele kipindi cha kwanza New Zealand wamefanya mashambulio ya kweli.
 
Mapumziko Urusi akiwa anaongoza kwa goli moja.
 
Hizi timu zinatumia mfumo wa kujilinda zaidi. 5-3-2
 
Loe naona Cameroon naye anapoteza mchezo hapa. Pamoja na goli la Chile kukatiliwa sioni jamaa wakitoka hapa.
 
Back
Top Bottom