FIFA Imeiamuru Simba SC Kumlipa fidia ya Milioni 110 Mchezaji wa Congo Doxa Gikanji

FIFA Imeiamuru Simba SC Kumlipa fidia ya Milioni 110 Mchezaji wa Congo Doxa Gikanji

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Mchezaji huyo alisajiliwa dirisha dogo January 2021 lakini kutokana na SImba SC kushindwa kukamilisha Usajili wake katika ngazi ya CAF...Makolo FC wakaamua kunvunjia mkataba mchezaji huyo baada ya kuona asingeweza kuwasaidia kwenye michuano ya CAF.

Huvyo Doxa akabaki akiwa hana timu wakati huo huo dirisha la usajili nchini Congo lilikuwa limekwisha fungwa hivyo asingeweza kurudi DC Motema Pembe.

Doxa alipeleka mashtaka yake kwenye ngazi za juu za mpira wa miguu. Sasa Rungu kali la kumlipa fidia limeidondokea familia ya Makolokolo FC. Tusisahau kuwa Bajeti ya Makolo FC msimu huu umepungua pakubwa baada ya boss Mo kuona pesa nyingi sana zinatumika pasi na impact kuonekana.


IMG_20211110_214646.jpg
 
Hee kesi ya Juzi juzi tu Ishaamuliwa Lakini Ya BM! Viiiiipi..? Hivi hawa CAS Wanatuona Sisi Misukuleeee? Au ?
 
Pesa hiyo ndogo sana wala haitoki kwenye bahasha ni kwenye kidosho tu

Afu kwa nyodo itatolewa na 5M nyingine ya usumbufu

Ile 5000$ Mliyolipishwa na CAF badala ya kulipa mkatuma barua ya msahama, kama hamna hela mngemuweka bondi mayele tuwape hiyo hela afu mayele aje kufagia msimbazi
 
Pesa hiyo ndogo sana wala haitoki kwenye bahasha ni kwenye kidosho tu

Afu kwa nyodo itatolewa na 5M nyingine ya usumbufu

Ile 5000$ Mliyolipishwa na CAF badala ya kulipa mkatuma barua ya msahama, kama hamna hela mngemuweka bondi mayele tuwape hiyo hela afu mayele aje kufagia msimbazi
Ulivyo na nyodo utafikiri unachangia hata shilingi
 
Ulivyo na nyodo utafikiri unachangia hata shilingi
Ile ni club iliyowekeza pesa kwa ajili ya mpira huwezi kufananisha na utopolo ambayo daily michango club inakua kama kamati ya harusi ambayo haiishi michango

Utopolo haina mkwanja na ndio maana ilichagua kujiita timu ya wananchi kwasababu ya majitoleo
 
Mchezaji huyo alisajiliwa dirisha dogo January 2021 lakini kutokana na SImba SC kushindwa kukamilisha Usajili wake katika ngazi ya CAF...Makolo FC wakaamua kunvunjia mkataba mchezaji huyo baada ya kuona asingeweza kuwasaidia kwenye michuano ya CAF...
Ulivyoiandika hapa jukwaani KISHABIKI..... mmmmmmm!
 
Mazuzu mmefurahi sana kwetu iyo pesa ndogo italipwa tu
 
Ile ni club iliyowekeza pesa kwa ajili ya mpira huwezi kufananisha na utopolo ambayo daily michango club inakua kama kamati ya harusi ambayo haiishi michango

Utopolo haina mkwanja na ndio maana ilichagua kujiita timu ya wananchi kwasababu ya majitoleo
tulia ww na timu yenu ya kutegemea hela za urithi!!michango unayoisema ni ipi?hizo hela umewekeza ww au mume wenu moh dewji!!
 
Mchezaji huyo alisajiliwa dirisha dogo January 2021 lakini kutokana na SImba SC kushindwa kukamilisha Usajili wake katika ngazi ya CAF...Makolo FC wakaamua kunvunjia mkataba mchezaji huyo baada ya kuona asingeweza kuwasaidia kwenye michuano ya CAF.

Huvyo Doxa akabaki akiwa hana timu wakati huo huo dirisha la usajili nchini Congo lilikuwa limekwisha fungwa hivyo asingeweza kurudi DC Motema Pembe.
Doxa alipeleka mashtaka yake kwenye ngazi za juu za mpira wa miguu . Sasa Rungu kali la kumlipa fidia limeidondokea familia ya Makolokolo FC. Tusisahau kuwa Bajeti ya Makolo FC msimu huu umepungua pakubwa baada ya boss Mo kuona pesa nyingi sana zinatumika pasi na impact kuonekana.

View attachment 2006271
hvi haya majinga makolo fc si ndo yanajisifia kuwa na management nzuri ya wasomi etc!!sasa wanafanyaje ujinga kama huuu!!!uharo mtupuuu!!ndo maana mwamedi ashashtukia na kujiweka pembeni
 
Pesa hiyo ndogo sana wala haitoki kwenye bahasha ni kwenye kidosho tu

Afu kwa nyodo itatolewa na 5M nyingine ya usumbufu

Ile 5000$ Mliyolipishwa na CAF badala ya kulipa mkatuma barua ya msahama, kama hamna hela mngemuweka bondi mayele tuwape hiyo hela afu mayele aje kufagia msimbazi
Wangemlipa kabla ya kesi wakampa na ya usumbufu ingependeza.
 
Back
Top Bottom