Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Na ndio maana wanafanya uchunguzi!Mmmmmmmh!!
Mbona kama ni kumuonea sana sasa...Wasije tu kumpiga Ban hadi kwenye migahawa yake.
Au inawezekanika kuna jambo lingine ambalo hatulijui..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio maana wanafanya uchunguzi!Mmmmmmmh!!
Mbona kama ni kumuonea sana sasa...Wasije tu kumpiga Ban hadi kwenye migahawa yake.
Au inawezekanika kuna jambo lingine ambalo hatulijui..
Soma fifa regulations, hazitaji familia ya mchezaji.Hiyo ni familia ya mchezaji
Nauliza tena, Rihana alienda kuwapora kombe wachezaji na kuanza kuwalazimisha kupiga nao picha?Rihana hakuwa na kibali lakini alishika mwaka 2014. Na fifa hawakufanya chochote
Salt bae hajavamia uwanjani kienyeji tu.
Fifa wenyewe wamempa salt bae kibali kikubwa na alikivaa wakati anaingia uwanjani.. salt bae alikuwa na FIFA VIP BADGE ambayo ilimpa access ya kuingia kwenye pitch bila walinzi kumsumbua.
Kwani fifa wamesema kupora au kulishikaNauliza tena, Rihana alienda kuwapora kombe wachezaji na kuanza kuwalazimisha kupiga nao picha?
Nakumbuka kuna kipindi shuleni enzi niko form 2 ilikuwa hairuhusiwi kusoma Prepo darasa moja na madem usiku...Kwani fifa wamesema kupora au kulishika
hahahaaaa wewee jamaa umenifurahisha mpaka basiUkishika kinaongeza nini au sababu jamaa anashika sana chunvi !.
labda kina majini hayapatani na chunvi