luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Kifuatiwa kitendo cha Serikali ya Kenya kuingilia Shirikisho la Mpira Kenya (FKF) na kumsimamisha Rais wa shirikisho ilo ni wazi FIFA. Mida wowote wataisimamisha Kenya , endapo Fifa wataisimamisha Kenya hapo Kesho basi timu iyo itatoa zawadi ya point tatu kwa kila timu iliyo kuwa nayo ktk kundinla kuwania kufuzu WC 2022
Lazima mle Rungu Kesho, shabashiiiiii , CS. Amina ametimua nikk mwendwa.
Lazima mle Rungu Kesho, shabashiiiiii , CS. Amina ametimua nikk mwendwa.