FIFA kuja na mabadiliko kadhaa kwenye soka ikiwemo kupunguza muda mpaka dakika 60

FIFA kuja na mabadiliko kadhaa kwenye soka ikiwemo kupunguza muda mpaka dakika 60

Ladha ya mpira inazidi kupotea, raha ya mpira inaendana na kupoteza muda,offside,goli tata,muda
 
Kwakuwa ni mapendekezo na sio kwamba muswada umepita natumaini wapiga kura/wafanya maamuzi watuendea huu mchezo haki. Na kufanya kile chenye manufaa kwa washabiki na wachezaji.
 
Kuna kirusi kwenye kambi inayofanya mapendekezo na maamuzi, nahisi watu wamehongwa ili waharibu radha ya mpira na washabiki tuje kwenye Basket Ball, American Football, Baseball, na michezo mingine.

Maana soccer imedominate kwa muda mrefu na haionekani kuanguka.
Kabisa naona Marekani anahusika kwa kiasi kikubwa sana huko.
 
Kabisa naona Marekani anahusika kwa kiasi kikubwa sana huko.

Michezo ya Marekani imeshindwa kupenya duniani, huku soka likishindwa kupenya Marekani ila dunia nzima linapendwa.

Sasa nikiona huu uharibifu najua kabisa jamaa wanataka kuua raha ya soka, dakika 60 nazikataa kwa nguvu zote, teknolojia hii mpya labda tutaizoea lakini nadhani inapunguza utamu wa kushangilia goli.
 
FIFA imepata bashite aisee,kila siku jamaa anafikiria namna ya kuondoa radha ya mpira,sitashangaa nikisikia akipendekeza wachezaji sasa wawe 9 kila timu.
 
sheria kibao zinapoteza ladha ya mpira!!!! kuna kitu inaitwa Assistant Video Refaree ni upuuzi mwingine
Nimeona juzi kwenye hizi mechi za mabara inakera yaani..inabidi mchezaji ukifunga goli usishangilie kwanza usuburi kideo kinasemaje
Haya mambo waachieni watu wa NBA raha ya mpira ni hayo makosa
 
Akili zao kama maafsa masoko wa mitandao ya bongo wanapunguza mb wanaongeza dakika.

Uenda hapo ikawa dakika za kuongezwa na kipa kupatiwa matibabu zikawa nyingi hadi kufikia kama kipa akitakiwa kutiwa drip atiliwe hapo hapo uwanjani.
 
FIFA imepata bashite aisee,kila siku jamaa anafikiria namna ya kuondoa radha ya mpira,sitashangaa nikisikia akipendekeza wachezaji sasa wawe 9 kila timu.

anavyoendelea atapunguza hadi ukubwa wa viwanja badala ya mita 100 akaweka mita 60
 
mi nadhani ingekuwa busara akaongeza kila kipindi ndio iwe dakia 60,yani kipindi cha kwanza dakika 60 kipindi cha pili dakika 60,extra time iwe dakika 40 penalti ziwe 10 kwa 10,kusiwepo na offsaid na kadi nyekundu iondolewe iwe kadi ya njano,na nyeusi,yani mchezaji akifanya kosa anapwa kadi ya njano,akirudia anapigwa tena kadi ya njano,akirudia mara ya tatu anapigwa tena kadi ya njano,mara nne anapigwa kadi nyeusi ya kumsimamaisha kucheza mpira kwa muda wa miezi mitatu
Umesikika,peleka mawazo yako FIFA(website yao)yawafikie na uyabadili yawe kwa lugha ya malikia.Vinginevyo humu utakuwa unajipongeza umemwaga point haswa na wamekuelewa.Au kiurahisi zaidi nenda ofisi ya TFF Dar,mwone rais achukue mawazo yako ayapeleke huko.Sawa akili tatu?
 
hii fifa inataka kufanya nihamie katika boxing haiwezekan mpira uchezwe kwa lisaa limoja ni ushoga huo
 
mi nadhani ingekuwa busara akaongeza kila kipindi ndio iwe dakia 60,yani kipindi cha kwanza dakika 60 kipindi cha pili dakika 60,extra time iwe dakika 40 penalti ziwe 10 kwa 10,kusiwepo na offsaid na kadi nyekundu iondolewe iwe kadi ya njano,na nyeusi,yani mchezaji akifanya kosa anapwa kadi ya njano,akirudia anapigwa tena kadi ya njano,akirudia mara ya tatu anapigwa tena kadi ya njano,mara nne anapigwa kadi nyeusi ya kumsimamaisha kucheza mpira kwa muda wa miezi mitatu
Duuh kweli hizi akili tatu.. Khaaa...!!
 
Back
Top Bottom