PLAN B VERYFIED
Senior Member
- Aug 10, 2023
- 169
- 589
😁Waweke uwezekano wa kuwa na makipa roboti, kocha aruhusiwe kuingia uwanjani anapoona mambo magumu, mashabiki na wachambuzi waweze kucheza game wakiiona haipo sawa (yaani kama wachezaji wanadevela)
#FIFA Wapo kwenye majaribio tutaona Sheria zao.mfano kadi umepewa dk ya 89 na zile za nyiongeza zikaisha let's say zimeongezwa 5 zikaisha vp kuhusu zile 5 nyingne zilizobaki zitafidiwa vipi?
au bado ni wazo tu maana nisifike mbali
KweliDuh! Hii kwa mtazamo wangu itapunguza ladha ya mchezo.
😁 FIFA Wanataka mpira wa kisasamh! sheria zikiwa nyingi sana zitaua mchezo
UKionewa mechi ijayo unazama ndani kuchezeshaWaweke uwezekano wa kuwa na makipa roboti, kocha aruhusiwe kuingia uwanjani anapoona mambo magumu, mashabiki na wachambuzi waweze kucheza game wakiiona haipo sawa (yaani kama wachezaji wanadevela)
Kwani zingekuwa kumi tu wewe ungeongeza 7 zingine?mh! sheria zikiwa nyingi sana zitaua mchezo
UhakikaUKionewa mechi ijayo unazama ndani kuchezesha
View attachment 2898039