uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Kipindi Fifa wao wanataka kujaribu hiyo card huku uswahilini tumekuwa tukitumia hiyo njia ambapo mchezaji huwekwa nje kwa mda flani akileta ukorofi
Njia hii huwa ni kandamizi sana pale refa anapokuwa na hila team mf ilitugharim sana hadi kufungwa pale captain wetu alipowekwa nje kwa mda na refa alimrudisha baada ya sisi kutanguliwa
Njia hii huwa ni kandamizi sana pale refa anapokuwa na hila team mf ilitugharim sana hadi kufungwa pale captain wetu alipowekwa nje kwa mda na refa alimrudisha baada ya sisi kutanguliwa