FIFA na kadi ya Bluu

FIFA na kadi ya Bluu

Kipindi Fifa wao wanataka kujaribu hiyo card huku uswahilini tumekuwa tukitumia hiyo njia ambapo mchezaji huwekwa nje kwa mda flani akileta ukorofi
Njia hii huwa ni kandamizi sana pale refa anapokuwa na hila team mf ilitugharim sana hadi kufungwa pale captain wetu alipowekwa nje kwa mda na refa alimrudisha baada ya sisi kutanguliwa
 
View attachment 2898032

FIFA wanapanga kufanya majaribio ya kadi ya bluu kwenye soka ambapo mchezaji atakayeoneshwa kadi hiyo atatolewa uwanjani na kukaa nje muda wa dakika 10. kadi ya bluu itatolewa kwa mcheza atakayecheza faulo ya kijinga au kupinga maamuzi ya mwamuzi.
Hahahaha soka ni full burdan
 
Kadi ya bluu akipewa kipa halafu timu pinzani ikipata penalti utatumika utaratibu gani?
 
Back
Top Bottom