FIFA wamesema wataonyesha mechi ya robo fainali AFL dunia nzima

FIFA wamesema wataonyesha mechi ya robo fainali AFL dunia nzima

Wewe nae unakuaga Mbwiga alafu unajifanya much know Sportpesa wapo Hull city, South Hampton, Everton, Cape town city, Arsenal, hizo ni international brand hao Mbet wako wapo wapi?
Unaelewa value ya ads kwenye product?

Unaelewa kwanini licha ya kwamba Pepsi na Cocacola wako around the world lakini bado wameendelea kujitangaza?
 
Tunawakumbusha Mbumbumbu fc, Mpira wa miguu katika ngazi ya mashindano kunahitaji maandalizi thabit na si FIFA kuonyesha mechi, Wenga kaja uwanjani, Rais wa FIFA kapiga picha na mwekezaji.

Izo zote ni vibwagizo tu ambavyo ata ilo Tamasha la ufunguzi lingefanyika Djibut bado zingekuwepo na wafuatiliaji wangekuwepo.

Yanga walisha wahi kuwaalika timu ya taifa ya Brazil mwaka 1973 na ikaja timu ya under 23, watu Airport walijaa kuwapokea maana Tangu iyo timu ilipoanza ziara yake uko Asia na baadhi ya nchi za Afrika walikua wakitembeza dozi za hatari.

Iyo timu ya Brazil under 23 kushinda goli 3,5,7,9 ilikua ni kawaida kwaiyo siku ya mechi watu wali hamasika pale Taifa uwanja ulitapika.
Mwisho wa gem Brazil walikufa 3-1.

Wakaja Astoni villa mabingwa wa zamani wa uropa watu wali jaa pomononi, wakatoa sare na Yanga tena waki sawazisha goli jioni.

Leo hii tunacho kumbuka ni matokeo na si vibe.

Ninacho wakumbusha mbumbumbu fc wasikaze fuvu kwenye vitu visivyo na msingi, timu yao ina mapungufu mengi wajadiliane namna ya kushauri na kurekebisha.

Wakija kutandikwa kipigo cha aibu hakuna mtu atakumbuka kama Wenga alikuwepo au MO kapiga picha na Ifantino rais wa FIFA.

Kwa wenye akili Rajacasablanca walitufundisha kitu.
Utopolo kunywen sumu mfe,hii nafasi mtakuja kuipata baada ya miaka 300000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna tatizo Simba kuanzisha kwakua Simba yenyewe ni mfupa katika mifupa ya Yanga.
Shamba la bwana kheri na Mbuzi wa Bwana kheri kwaiyo ata ikitokea Mbuzi wa Bwana Kheri akaingia na kula kwenye Shamba la bwana kheri yote ni kheri.
Baba siku zote ana jivunia mtoto wake akifanya vizuri. Mafanikio yoote ya Simba wakujivunia ni Yanga.
Ulichokiandika hapa ni mfano wa kitoto sana sawa na vyuo visivyo na muda mrefu sana kama UDOM kufanya vizuri katika taaluma, research na innovation mbali mbali alafu Chuo kikongwe kama udism kishindwe kufanya hivyo kianze kujivunia oooh walimu wengi wa udom walisomaga udism au walikuwaga udism zamani hahahaha.....tusingekuwa tukimsifia US au CHINA au Russia maana UK aliwatangulia mbali sana hao wote kiuchumi, technology na kijeshi ila Leo hii hao wote niliowataja hakuna ambae ni saizi UK, yaani namaanisha UK kabaki historia tu kwa hao keshaachwa mbali sana.....aya lini umeskia UK akisema maadam technology imeanziaga kwake basi yeye ndio mkali kuliko wote??? It doesn't matter umeanzaje umeanzia wapi na umeanza lini ila anaecheka mwisho ndio hucheka sana

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Hakuna tatizo Simba kuanzisha kwakua Simba yenyewe ni mfupa katika mifupa ya Yanga.
Shamba la bwana kheri na Mbuzi wa Bwana kheri kwaiyo ata ikitokea Mbuzi wa Bwana Kheri akaingia na kula kwenye Shamba la bwana kheri yote ni kheri.
Baba siku zote ana jivunia mtoto wake akifanya vizuri. Mafanikio yoote ya Simba wakujivunia ni Yanga.
Ulichokiandika hapa ni mfano wa kitoto sana sawa na vyuo visivyo na muda mrefu sana kama UDOM kufanya vizuri katika taaluma, research na innovation mbali mbali alafu Chuo kikongwe kama udism kishindwe kufanya hivyo kianze kujivunia oooh walimu wengi wa udom walisomaga udism au walikuwaga udism zamani hahahaha.....tusingekuwa tukimsifia US au CHINA au Russia maana UK aliwatangulia mbali sana hao wote kiuchumi, technology na kijeshi ila Leo hii hao wote niliowataja hakuna ambae ni saizi UK, yaani namaanisha UK kabaki historia tu kwa hao keshaachwa mbali sana.....aya lini umeskia UK akisema maadam technology imeanziaga kwake basi yeye ndio mkali kuliko wote??? It doesn't matter umeanzaje umeanzia wapi na umeanza lini ila anaecheka mwisho ndio hucheka sana
 
Unaelewa value ya ads kwenye product?

Unaelewa kwanini licha ya kwamba Pepsi na Cocacola wako around the world lakini bado wameendelea kujitangaza?
Achana nae huyo hana hajualo, Pepsi na coca wapo kila sehemu kwani wana sababu gani kwenda vinijini ilihali wao ni super brand duniani kote?? Hana analolijua huyo muache
 
Achana nae huyo hana hajualo, Pepsi na coca wapo kila sehemu kwani wana sababu gani kwenda vinijini ilihali wao ni super brand duniani kote?? Hana analolijua huyo muache
Unatangaza product ambayo ipo sokoni Mbet wapo wapi tofauti na Tanganyika?
 
Tunawakumbusha Mbumbumbu fc, Mpira wa miguu katika ngazi ya mashindano kunahitaji maandalizi thabit na si FIFA kuonyesha mechi, Wenga kaja uwanjani, Rais wa FIFA kapiga picha na mwekezaji.

Izo zote ni vibwagizo tu ambavyo ata ilo Tamasha la ufunguzi lingefanyika Djibut bado zingekuwepo na wafuatiliaji wangekuwepo.

Yanga walisha wahi kuwaalika timu ya taifa ya Brazil mwaka 1973 na ikaja timu ya under 23, watu Airport walijaa kuwapokea maana Tangu iyo timu ilipoanza ziara yake uko Asia na baadhi ya nchi za Afrika walikua wakitembeza dozi za hatari.

Iyo timu ya Brazil under 23 kushinda goli 3,5,7,9 ilikua ni kawaida kwaiyo siku ya mechi watu wali hamasika pale Taifa uwanja ulitapika.
Mwisho wa gem Brazil walikufa 3-1.

Wakaja Astoni villa mabingwa wa zamani wa uropa watu wali jaa pomononi, wakatoa sare na Yanga tena waki sawazisha goli jioni.

Leo hii tunacho kumbuka ni matokeo na si vibe.

Ninacho wakumbusha mbumbumbu fc wasikaze fuvu kwenye vitu visivyo na msingi, timu yao ina mapungufu mengi wajadiliane namna ya kushauri na kurekebisha.

Wakija kutandikwa kipigo cha aibu hakuna mtu atakumbuka kama Wenga alikuwepo au MO kapiga picha na Ifantino rais wa FIFA.

Kwa wenye akili Rajacasablanca walitufundisha kitu.
Bado hujasema ,na bado
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Tunawakumbusha Mbumbumbu fc, Mpira wa miguu katika ngazi ya mashindano kunahitaji maandalizi thabit na si FIFA kuonyesha mechi, Wenga kaja uwanjani, Rais wa FIFA kapiga picha na mwekezaji.

Izo zote ni vibwagizo tu ambavyo ata ilo Tamasha la ufunguzi lingefanyika Djibut bado zingekuwepo na wafuatiliaji wangekuwepo.

Yanga walisha wahi kuwaalika timu ya taifa ya Brazil mwaka 1973 na ikaja timu ya under 23, watu Airport walijaa kuwapokea maana Tangu iyo timu ilipoanza ziara yake uko Asia na baadhi ya nchi za Afrika walikua wakitembeza dozi za hatari.

Iyo timu ya Brazil under 23 kushinda goli 3,5,7,9 ilikua ni kawaida kwaiyo siku ya mechi watu wali hamasika pale Taifa uwanja ulitapika.
Mwisho wa gem Brazil walikufa 3-1.

Wakaja Astoni villa mabingwa wa zamani wa uropa watu wali jaa pomononi, wakatoa sare na Yanga tena waki sawazisha goli jioni.

Leo hii tunacho kumbuka ni matokeo na si vibe.

Ninacho wakumbusha mbumbumbu fc wasikaze fuvu kwenye vitu visivyo na msingi, timu yao ina mapungufu mengi wajadiliane namna ya kushauri na kurekebisha.

Wakija kutandikwa kipigo cha aibu hakuna mtu atakumbuka kama Wenga alikuwepo au MO kapiga picha na Ifantino rais wa FIFA.

Kwa wenye akili Rajacasablanca walitufundisha kitu.
Fungua uzi wako Yanga
 
Tunawakumbusha Mbumbumbu fc, Mpira wa miguu katika ngazi ya mashindano kunahitaji maandalizi thabit na si FIFA kuonyesha mechi, Wenga kaja uwanjani, Rais wa FIFA kapiga picha na mwekezaji.

Izo zote ni vibwagizo tu ambavyo ata ilo Tamasha la ufunguzi lingefanyika Djibut bado zingekuwepo na wafuatiliaji wangekuwepo.

Yanga walisha wahi kuwaalika timu ya taifa ya Brazil mwaka 1973 na ikaja timu ya under 23, watu Airport walijaa kuwapokea maana Tangu iyo timu ilipoanza ziara yake uko Asia na baadhi ya nchi za Afrika walikua wakitembeza dozi za hatari.

Iyo timu ya Brazil under 23 kushinda goli 3,5,7,9 ilikua ni kawaida kwaiyo siku ya mechi watu wali hamasika pale Taifa uwanja ulitapika.
Mwisho wa gem Brazil walikufa 3-1.

Wakaja Astoni villa mabingwa wa zamani wa uropa watu wali jaa pomononi, wakatoa sare na Yanga tena waki sawazisha goli jioni.

Leo hii tunacho kumbuka ni matokeo na si vibe.

Ninacho wakumbusha mbumbumbu fc wasikaze fuvu kwenye vitu visivyo na msingi, timu yao ina mapungufu mengi wajadiliane namna ya kushauri na kurekebisha.

Wakija kutandikwa kipigo cha aibu hakuna mtu atakumbuka kama Wenga alikuwepo au MO kapiga picha na Ifantino rais wa FIF sana uto gem yenu na azam itaoneshwa sky sport

Tunawakumbusha Mbumbumbu fc, Mpira wa miguu katika ngazi ya mashindano kunahitaji maandalizi thabit na si FIFA kuonyesha mechi, Wenga kaja uwanjani, Rais wa FIFA kapiga picha na mwekezaji.

Izo zote ni vibwagizo tu ambavyo ata ilo Tamasha la ufunguzi lingefanyika Djibut bado zingekuwepo na wafuatiliaji wangekuwepo.

Yanga walisha wahi kuwaalika timu ya taifa ya Brazil mwaka 1973 na ikaja timu ya under 23, watu Airport walijaa kuwapokea maana Tangu iyo timu ilipoanza ziara yake uko Asia na baadhi ya nchi za Afrika walikua wakitembeza dozi za hatari.

Iyo timu ya Brazil under 23 kushinda goli 3,5,7,9 ilikua ni kawaida kwaiyo siku ya mechi watu wali hamasika pale Taifa uwanja ulitapika.
Mwisho wa gem Brazil walikufa 3-1.

Wakaja Astoni villa mabingwa wa zamani wa uropa watu wali jaa pomononi, wakatoa sare na Yanga tena waki sawazisha goli jioni.

Leo hii tunacho kumbuka ni matokeo na si vibe.

Ninacho wakumbusha mbumbumbu fc wasikaze fuvu kwenye vitu visivyo na msingi, timu yao ina mapungufu mengi wajadiliane namna ya kushauri na kurekebisha.

Wakija kutandikwa kipigo cha aibu hakuna mtu atakumbuka kama Wenga alikuwepo au MO kapiga picha na Ifantino rais wa FIFA.

Kwa wenye akili Rajacasablanca walitufundisha kitu.
Daah umeongea kwa uchungu sana,, sema nin gem yenu uto na azam itaoneshwa sky sport
 
Back
Top Bottom