sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
- Thread starter
- #21
Subiri utakachoambiwa na kina Aveva na Kasim Dewji. Watakuambia hizo pesa wala hazitoshi kulipa madeni ya klabu. Watakuambia kuwa hata hao wachezaji wanaosajiliwa ni kwa fedha za mkopo kutoka kwa hao wanaojiita wafadhili au friends of simba na sio kutoka klabuni.
Sidhani kama kutakua na execuse ya madeni, maana ktk mechi saba tu za ligi tumeingiza zaidi ya 190m mapato, kuna jengo la klabu ambalo ni chanzo cha mapato, kuna hela za udhamini toka TBL n.k sasa hayo madeni yatatoka wapi?
