Subiri utakachoambiwa na kina Aveva na Kasim Dewji. Watakuambia hizo pesa wala hazitoshi kulipa madeni ya klabu. Watakuambia kuwa hata hao wachezaji wanaosajiliwa ni kwa fedha za mkopo kutoka kwa hao wanaojiita wafadhili au friends of simba na sio kutoka klabuni.
Hiyo pesa haifiki hata TZS 1bn/= wewe unazungumzia kujenga uwanja! Heri kuwa kipofu wa macho kuliko kuwa kipofu wa akili (ujinga).
Sijui shafih dauda ataongea nini tena maana alishaapa na wenzake wa sports xtra kuwa rage alishapiga mpunga...
Sijui shafih dauda ataongea nini tena maana alishaapa na wenzake wa sports xtra kuwa rage alishapiga mpunga...
Dah, kweli umenikumbusha AISEE. Ila hawa jamaa waga hawana AIBU atauchuna TU. Wangekuwa wengine wangeweka ile sehemu waliyomrekodi kwamba alisema UONGO ila kwa kuwa ni wao wenyewe watauchuna TU.
Hapo kwenye red ni hadithi za kusadikika
Dah, kweli umenikumbusha AISEE. Ila hawa jamaa waga hawana AIBU atauchuna TU. Wangekuwa wengine wangeweka ile sehemu waliyomrekodi kwamba alisema UONGO ila kwa kuwa ni wao wenyewe watauchuna TU.
Hii ni baada ya CAS kuiamuru Etoile Du Sahel kuilipa Simba Sc USD 300,000. Kiasi hicho kilikuwa ni kwa ajili ya uhamisho wa Okwi. Simba Sc iliamua kwenda CAS baada ya Etoile du Sahel kugoma kulipa ada ya uhamisho ikidai kua ina hali mbaya kiuchumi.
NB: "zaidi ya usd 300,000 + mkwanja wa mtani jembe + vyanzo vyetu vya mapato = Simba Sc Complex mitaa ya Bunju"
===============
===============
Sidhani kama kutakua na execuse ya madeni, maana ktk mechi saba tu za ligi tumeingiza zaidi ya 190m mapato, kuna jengo la klabu ambalo ni chanzo cha mapato, kuna hela za udhamini toka TBL n.k sasa hayo madeni yatatoka wapi?
Bado tunangoja umalize kuoka mikate Azam.Ikiingia utaifeel tu usiwe na haraka.
simba washalipwa au changa la macho tena?