FIFA yaishika pabaya Simba, ratiba ngumu kwa mpambano wao na Al Alhy

Watanzania tumekuwa wavivu sana kufatilia vitu kwa kina, sio ajabu mtu kasikia stori za mtaani au kuna mnachambuzi wa chombo fulani cha habari katamka hivyo basi na watu wanalibeba kama lilivyo pasipo kujua ukweli wa hiyo taarifa.
 
Watanzania tumekuwa wavivu sana kufatilia vitu kwa kina, sio ajabu mtu kasikia stori za mtaani au kuna mnachambuzi wa chombo fulani cha habari katamka hivyo basi na watu wanalibeba kama lilivyo pasipo kujua ukweli wa hiyo taarifa.
Watanzania hawana utamaduni wa kujisomea wala kudadisi kile wanachokutana nacho.
 
Al Ahly wao wameomba wachezaji wao muhimu wabakie kikosini na wamekubaliwa, Simba sijui wanafeli wapi . SIMBA wajiandae hii mechi itakuwa ngumu kwao
Kama hao wachezaji ni muhimu sana kwenye programu ya kocha Roba, viongiozi wa Makolo wamlilie Karia aongee na maraisi wenzake wa mashirikisho ya soka yenye wachezaji wao walioitwa kwenye timu za taifa.

Maana wakiruhusu magoli mengi, watawatoa woga na kuwapa kujiamini wapinzani wake wa CAF CL na kuona ooo kumbe MNYAMA ni mdebwedo?

Na tunazidi kukumbusha kule hakuna TATU MALOGO, haya shauri zao wenyewe wasije wakasema hawakuambiwa.
 
Kwa vile hawajaenda kucheza Ngoma au kwenye harusi..sioni shida.
 
Hilo bonanza lenu kule Europe lilikataliwa na timu za kule, sababu ikiwa ni ratiba kuingiliana napia itawachosha wachezaji.

Kwakua huku Africa ni jalala la kila upuuzi, viongozi wa soccer bila kufikilia wakalibaliki.

Kwa uhakika hilo bonanza halitakua na muda litafutwa kwenye ramani za soccer.
Hakuna michuano hapo, ni upuuzi tu.
 
Basi Makolo nayasubiri khamsa zao za ndani nje ili mji uwe na amani
Hiyo khamsa Inaitwa 5G kipigo Cha mbwa Koko!

Simba mbona ishakandwa hata kabla ya mechi! Al Ahly Mlima mrefu!

Huwa siendi uwanjani ila mechi ya Al Ahly nitaenda kwa Mkapa kama nikiwa hai Ili kuhesabu magoli watakayopigwa Simba!

Wanayanga tunapaswa kujaza uwanja kuwazomea Simba na kuzuia viti vising'olewe baada ya 5G!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…