GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wallace Karia ambaye kwa sasa ndiyo anakaimu nafasi ya Urais wa TFF amethibitisha kuwa ule Ujumbe maalum wa FIFA uliokuwa uje nchini Tanzania kufuatilia sakata zima la Rais wa TFF Jamal Emil Malinzi na Katibu Mkuu wake Celestine Mwesigwa sasa umesitisha na kusema kuwa hautakuja tena nchini Tanzania na kwamba wanaiachia Mahakama ya Tanzania ifanye Kazi yake.
Source ya habari hii ni Efm Kipindi cha Sports Headquarters ambacho kimeanza hivi punde tu na Kiongozi huyo ataongea kiundani zaidi ndani ya dakika 15 zijazo hivyo ni vyema kama upo karibu na Redio yako basi uka tune in Efm usikilize.
Nimalizie tu kwa kusema pole sana kwa Jamal E. Malinzi na wale Team Malinzi wote. Ngoma inogile.
Nawasilisha.
Source ya habari hii ni Efm Kipindi cha Sports Headquarters ambacho kimeanza hivi punde tu na Kiongozi huyo ataongea kiundani zaidi ndani ya dakika 15 zijazo hivyo ni vyema kama upo karibu na Redio yako basi uka tune in Efm usikilize.
Nimalizie tu kwa kusema pole sana kwa Jamal E. Malinzi na wale Team Malinzi wote. Ngoma inogile.
Nawasilisha.