Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu Imekuaje Tena Kemcho akashindwa Kumlipa Asante Kwasi?[emoji849][emoji849]
FIFA imeifungia simba kusajili kwa kipindi kimoja kijacho cha usajili. Nyundo hiyo ya FIFA imekuja kufuatia kuikuta na hatia Simba kutokana na kushindwa kumalizana na beki wao wa zamani, Mghana A. Kwasi. adhabu hiyo kwa Simba itaanza kufanya kazi katika dirisha lijalo la usajili
Asante Kwasi (kushoto) alipokuwa Simba
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limeifungia klabu ya Simba kusajili katika kipindi kimoja cha dirisha hilo kufuatia kutiwa hatiani kwa kutomlipa stahiki zake aliyekuwa beki wao raia wa Ghana, Asante Kwasi.
Adhabu hiyo imekuja kufuatia FIFA kujiridhisha kuwa Simba haikufanikiwa kumalizana na beki huyo baada ya kuachana naye mara baada ya kumalizika kwa msimu wa 2018/19 na kutakiwa kumlipa mchezaji huyo kiasi cha Sh. 25 milioni.
Simba itaanza kutumikia adhabu hiyo kuanzia msimu ujao katika dirisha kubwa la usajili litakalofunguliwa mara baada ya Ligi kumalizika.
Kwasi alijiunga na Simba mwaka 2017 akitokea klabu ya Lipuli FC ya mkoani Iringa iliyokuwa inashiriki Ligi Kuu Tanzania Bara.
====
Tanzanian giants Simba SC have been sanctioned by FIFA after failing to settle Ghanaian defender Kwasi Asante.
The talented right-back left Simba SC for Hafia in 2019 as a free agent with the Tanzanian side still owing him salaries and all efforts to get his money has proven futile.
Sportsworldghana.com understands that Asante dragged Simba to FIFA nad after several warnings which all fell On deaf ears, they have been banned from signing any player in the coming transfer window until they pat the Ghanaian player.
Asante previously played for Mbabane Swallows, Manzini Wanderers and a host of other teams.
FIFA imeifungia simba kusajili kwa kipindi kimoja kijacho cha usajili. Nyundo hiyo ya FIFA imekuja kufuatia kuikuta na hatia Simba kutokana na kushindwa kumalizana na beki wao wa zamani, Mghana A. Kwasi. adhabu hiyo kwa Simba itaanza kufanya kazi katika dirisha lijalo la usajili
Asante Kwasi (kushoto) alipokuwa Simba
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limeifungia klabu ya Simba kusajili katika kipindi kimoja cha dirisha hilo kufuatia kutiwa hatiani kwa kutomlipa stahiki zake aliyekuwa beki wao raia wa Ghana, Asante Kwasi.
Adhabu hiyo imekuja kufuatia FIFA kujiridhisha kuwa Simba haikufanikiwa kumalizana na beki huyo baada ya kuachana naye mara baada ya kumalizika kwa msimu wa 2018/19 na kutakiwa kumlipa mchezaji huyo kiasi cha Sh. 25 milioni.
Simba itaanza kutumikia adhabu hiyo kuanzia msimu ujao katika dirisha kubwa la usajili litakalofunguliwa mara baada ya Ligi kumalizika.
Kwasi alijiunga na Simba mwaka 2017 akitokea klabu ya Lipuli FC ya mkoani Iringa iliyokuwa inashiriki Ligi Kuu Tanzania Bara.
====
Tanzanian giants Simba SC have been sanctioned by FIFA after failing to settle Ghanaian defender Kwasi Asante.
The talented right-back left Simba SC for Hafia in 2019 as a free agent with the Tanzanian side still owing him salaries and all efforts to get his money has proven futile.
Sportsworldghana.com understands that Asante dragged Simba to FIFA nad after several warnings which all fell On deaf ears, they have been banned from signing any player in the coming transfer window until they pat the Ghanaian player.
Asante previously played for Mbabane Swallows, Manzini Wanderers and a host of other teams.