FIFA yazindua uwanja wa Pele Nchini Rwanda. Je, kwa Tanzania kiwanja gani kipewe jina la Pele?

Icon kwako
 
U
Uwanja wa kuchukua watu 22,000 ni uwanja wa halmashauri ya wilaya tu huku bongo.
Uwanja wa uhuru zamani ilikua na uwezo wa kuchukua watu 15000 tu
 

Na congress ya fifa wataifanyia kwenye ukumbi wao wa mikutano nawakumbusha mikutano na makongamano ya kimataifa mengi hufanyikia kigali sio Tanzania tena kwa ukanda huu
 
Jangwani
 
Kagame invested $5M for World FIFA Congress.

In return he gets to almost $100M of ripple effects/returns.
 
Kujipendekeza tu ,tutumie majina ya wachezaji wetu
 
Hakuna ulazima wa kutumia jina la Pele tuna majina yetu tele
 
😎😎 huo wa Mkapa ubadilishwe jina.

uitwe MkapaPele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…