Poa poa Asante sanaItapatikana, tuendelee kuwa pamoja tutaangalia link ya uhakika
Lolote linaweza tokea kwenye ndondi.Naona Canello ana record na experience yakutosha, hapo nampa nafasi kubwa ya ushindi.
Boxing ina matokeo ya kushangaza sana, ndo maana huwa naogopa kutabiriLolote linaweza tokea kwenye ndondi.
Kwenye mchezo wa AJ na Oleksandr Usyk asilimia kubwa watu walimpa AJ kama atashinda kutokana na records na experience lakini matokeo yalikuwa tofauti
Mi nahisi hii ngoma inaisha mapema kuliko ile ya mwanzo, Kamaru amekuwa bora zaidi ya jana[emoji2][emoji2]Kwenye boxing sina wasiwasi Canelo anashinda.
Shughuli ipo hapo UFC. Natamani sana Kamaru Usman "the Nigerian Nightmare" ashinde ila Colby yupo vizuri zaidi.
Pambano lao la kwanza Kamaru alinyamazisha ukumbi uliokuwa umejaa mashabiki wa Colby kwa KO Raundi ya mwisho.
Kinachomsaidia Kamaru Usman ni utulivu na uvumilivu akiwa ndani ya Cage.
Colby yupo vizuri ila tatizo ana dharau na majivuno sana dhidi ya wapinzani wake.
Tukutane baadae kwa updates na live streaming.
Sio rahisi hivyo mkuu.Mi nahisi hii ngoma inaisha mapema kuliko ile ya mwanzo, Kamaru amekuwa bora zaidi ya jana[emoji2][emoji2]
Hakuna betting ngumu kama za MMA maana yeyote anakalishwa inategemea umeotewa vipi, mtu pekee ambaye ukiweka mzigo ilikuwa uhakika alikuwa Khabib [emoji16][emoji16]Sio rahisi hivyo mkuu.
Hata Colby atakuwa amefanyia kazi makosa yake ya mwanzo, hasa lile kosa la kumsogezea uso Kamaru.
Usijaribu kubet kwenye hili pambano maana lipo 50/50, atakayezubaa kidogo anamalizwa.
Mapambano makubwa yataanza saa 11 alfajiri.Updates? Live inaanza muda gani?
Sio ortega huyuNigeria Nightmare alivyombaptize 'Street Jesus', this was so amazing [emoji3][emoji3]View attachment 2000440
Are you sure Brother? Sasa nitamuambiaje My wife wangu? Mmeniharibia timing kabisaMapambano makubwa yataanza saa 11 alfajiri.
Endelea na usingizi.