Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatia shaka kwa timu kubwa yenye bajeti kubwa kama Mamelodi kuwa na mabasi yenye hitilafuLabda limeharibika kweli
kwanini yanga walipanda hili basi?View attachment 2952297
Ni wazi kabisa hizi figisu ila cha kushangaa ni kuona timu kubwa kama Mamelodi kufanya hivi vitu wakati wao walipokelewa vizuri hapa Tanzania, tushazoea kwa waarabu ila sasa imeanza kuwa hadi kwa waafrika wenzetu?
Sasa figisu gani hapo mkuu wakati hata siku ya game bado sana?View attachment 2952297
Ni wazi kabisa hizi figisu ila cha kushangaa ni kuona timu kubwa kama Mamelodi kufanya hivi vitu wakati wao walipokelewa vizuri hapa Tanzania, tushazoea kwa waarabu ila sasa imeanza kuwa hadi kwa waafrika wenzetu?
Ni wajibu wa timu mwenyeji kuwaandalia wageni usafiri na hotel, unless mkubaliane kabla kila mtu atajitegemea.Vitu vya bure
Mikakati ya kuwaondoa mchezoni
Hiki ni kiwango cha juu cha ujinga, Mamelodi inamiliki Car hires?Inatia shaka kwa timu kubwa yenye bajeti kubwa kama Mamelodi kuwa na mabasi yenye hitilafu
Naunga mkono hojaWaache watutie hasira ili ijumaa tuwakande vizuri!! 💛💚
Hakuna sehemu Yanga itateseka, hii mechi Yanga anacheza kama Yuko nyumbani tu nyomi la kutosha.Acha Yanga yateseke yanataka kudeka deka kila mahali
Sahihi kabisa mkuu ila hizi bure maranyingi haziaminiki hasa hoteliNi wajibu wa timu mwenyeji kuwaandalia wageni usafiri na hotel, unless mkubaliane kabla kila mtu atajitegemea.