Figisu: Basi la Mamelodi la kuwapokea Yanga lasimama njiani na kuwaomba wasubiri litengenezwe, Yanga waamua kutumia hiace ndogo

Figisu: Basi la Mamelodi la kuwapokea Yanga lasimama njiani na kuwaomba wasubiri litengenezwe, Yanga waamua kutumia hiace ndogo

Sahihi kabisa mkuu ila hizi bure maranyingi haziaminiki hasa hoteli
Hivi ujifanye mjuwaji South Africa mkavamiwa na magenge ya Wahuni mtamlaumu nani?

Mpira unakwenda kuchezwa kwenye pitch.
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
Hiki ni kiwango cha juu cha ujinga, Mamelodi inamiliki Car hires?

Hivi Yanga wakienda Avis car au kampuni yoyote inayokodisha magari ikawapa wageni wake, lile gari ikipata itilafu utasema Yanga ndio tatizo?

Kichwa kisichokuwa na akili ni mzigo Kwa shingo.
Si ndio hapo sasa
 
Back
Top Bottom