Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Uko sahihi mambo ya usifiri hayo.Me sioni shida hapo, Hakuna asiepata dharula/hitilafu labda Mungu ndo sijui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi mambo ya usifiri hayo.Me sioni shida hapo, Hakuna asiepata dharula/hitilafu labda Mungu ndo sijui.
Hivi ujifanye mjuwaji South Africa mkavamiwa na magenge ya Wahuni mtamlaumu nani?Sahihi kabisa mkuu ila hizi bure maranyingi haziaminiki hasa hoteli
Yanga kwangu ni najisi siku zoteHakuna sehemu Yanga itateseka, hii mechi Yanga anacheza kama Yuko nyumbani tu nyomi la kutosha.
Kama upo Johannesburg njoo hapa Rosebank nikupe ticket bure.
Ona hawa ndio wajinga wanaotokwa mapovu wapelekwe Cairo hata passport hana.Tayari mmeshafungwa
usitumie nguvu Sana kama huelewi ulizaOna hawa ndio wajinga wanaotokwa mapovu wapelekwe Cairo hata passport hana.
Si ndio hapo sasaHiki ni kiwango cha juu cha ujinga, Mamelodi inamiliki Car hires?
Hivi Yanga wakienda Avis car au kampuni yoyote inayokodisha magari ikawapa wageni wake, lile gari ikipata itilafu utasema Yanga ndio tatizo?
Kichwa kisichokuwa na akili ni mzigo Kwa shingo.
Bure gharama, watani waache kupenda kulelewa.View attachment 2952297
Ni wazi kabisa hizi figisu ila cha kushangaa ni kuona timu kubwa kama Mamelodi kufanya hivi vitu wakati wao walipokelewa vizuri hapa Tanzania, tushazoea kwa waarabu ila sasa imeanza kuwa hadi kwa waafrika wenzetu?
Vijana wanataka kuingizia lawama.Uko sahihi mambo ya usifiri hayo.