Figo kushindwa kufanya kazi

kyemo

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2010
Posts
570
Reaction score
718
Siku za hivi karibun kumekuwa na ongezeko la wagonjwa wengi wa figo.Wataalamu na Madaktari tunaomba mtuambie ni wapi tunakosea ili tuweze kuepukana na hili tatizo au kuna nn kilichojificha nyuma ya pazia ambacho watu hatukifaham kinasababisha hili tatizo.
 
View attachment 1185712

Moja ya matatizo yanayosababisha kidney failure ni kuwa over worked na sugar filtration.

Moyo na figo hufanya kazi kwa karibu sana. Uncontrolled hypertension huleta kidney failure.
Apo kwenye kuwa overworked nadhan ndio tatizo limezid kuwa kubwa sku hz,je unywaji wa madawa yanaweza sababisha figo kuwa overworked?
 
Pombe, dawa za mda mrefu kama ARVs, unywaji mdogo wa maji huleta Kidney stone ambazo nazo huleta kidney failure. Hizi ni sababu nyingi pia kuna trauma ( kuumia ) labda ajali ambzo zina weza sababisha kidney rupture.

Hizo ni sababu kubwa za Figo kufa. Kumekuwa na ongezeko Kubwa la watu wengi figo zao kufa mbaya zaidi Nephrologist ( ma Dr specialist wa figo wako 7) heshma kwa DR kajiru kanda ya kaskazin


Kwa ulimwengu wa Biashara nafikiri saiv wagonjwa wa Kidney failure ndio wana soko sana kuliko ARVs kwajil process wanayo fanyiwa yaku chuja figo( dialysis ) ina cost Zaid ya laki 5/day na inafanywa mara 3 kwa week mpaka siku yako ya kufa.

Na wasilisha.
 
Navyoona pombe ni tatizo kubwa sana na hasa pombe kali na kutokunywa maji mengi
 
Ni kwel japo si kwa wote binadamu tuna kautofauti kidogo.
Sure kuna wanaokunywa pombe kali sana, matumizi ya dawa za maumivu hasa kuna wengine hawapati usingizi mpaka ameze diclopa, kutokunywa maji mengi na mengineyo
 
hapo ni serekalini garama hizo inaonekana wataomudu ni wachache
 
Pia matumizi yasiyo na vipimo au dose maalum ya madawa ya kiasili kama kikombe cha babu wa Loliondo, Mwarobaini na alovera huchangia kwa kiasi kikubwa kuua figo!
 
View attachment 1185712

Moja ya matatizo yanayosababisha kidney failure ni kuwa over worked na sugar filtration.

Moyo na figo hufanya kazi kwa karibu sana. Uncontrolled hypertension huleta kidney failure.
Ufafanuzi please 'Uncontrolled hypertension huleta kidney failure' na vipi kuhusu utumiaji wa pombe kali...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…