Tony Yeyo JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 729 Reaction score 555 Aug 8, 2019 #1 Wabar zenu Madaktari naomba mnisaidie, nimeenda kupima nimeambiwa kuna kama ka uvimbe kweny Figo ya kulia, nimesoma kweny mtandao naona kanaitwa kidney cyst... Kesho ndo nina kwenda kumuona Dokta Leo nimefanya vipomo tu Napata maumivu nyuma ya mgongo upande wa kulia..ila sio maumivu makal yana kuja na kuondoka Nimeambatanisha picha apo chini naomba ushauri wenu Nimekuwa na wasiwasi, naogopa sina raha naomba mnisaidie kunipa ushauri wa kitalamu
Wabar zenu Madaktari naomba mnisaidie, nimeenda kupima nimeambiwa kuna kama ka uvimbe kweny Figo ya kulia, nimesoma kweny mtandao naona kanaitwa kidney cyst... Kesho ndo nina kwenda kumuona Dokta Leo nimefanya vipomo tu Napata maumivu nyuma ya mgongo upande wa kulia..ila sio maumivu makal yana kuja na kuondoka Nimeambatanisha picha apo chini naomba ushauri wenu Nimekuwa na wasiwasi, naogopa sina raha naomba mnisaidie kunipa ushauri wa kitalamu
heartbeats JF-Expert Member Joined Feb 10, 2014 Posts 6,736 Reaction score 10,669 Aug 8, 2019 #2 Kidney cyst ni kama kauvimbe kenye minyoo flan ivi,unaweza pewa dawa labda opereshen sidhani maana si mawe hayo
Kidney cyst ni kama kauvimbe kenye minyoo flan ivi,unaweza pewa dawa labda opereshen sidhani maana si mawe hayo
Tony Yeyo JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 729 Reaction score 555 Aug 8, 2019 Thread starter #3 Asante sana godimpare said: Kidney cyst ni kama kauvimbe kenye minyoo flan ivi,unaweza pewa dawa labda opereshen sidhani maana si mawe hayo Click to expand...
Asante sana godimpare said: Kidney cyst ni kama kauvimbe kenye minyoo flan ivi,unaweza pewa dawa labda opereshen sidhani maana si mawe hayo Click to expand...
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Aug 8, 2019 #4 ILA KWA MSAADA ZAIDI, NENDA KAONANE NA HUYO DOCTA, ATAKUSAIDIA POLE MKUU
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Aug 8, 2019 #5 Pole sana... Sky Eclat pitia hapa kwa ushauri... Cc: mahondaw
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Aug 8, 2019 #6 Pole Sana Tony Yayo.
Monseur JF-Expert Member Joined Dec 5, 2016 Posts 655 Reaction score 525 Aug 8, 2019 #7 Kunywa sana maji kati ya lita nne na nusu hadi sita kwa siku, na ujipe muda wa kupumzika, tatizo litakwisha kabisa.
Kunywa sana maji kati ya lita nne na nusu hadi sita kwa siku, na ujipe muda wa kupumzika, tatizo litakwisha kabisa.
M Mtimkavuorg JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 655 Reaction score 527 Aug 8, 2019 #8 Pole sana utapona madktari watakutibu maana ndy kalama yao toka kwa Mungu mwenyezi