malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Hajawahi kuwa mnywa pombe Wala kuonja ladha ya pombe ya aina yoyoteAlikua mnywa pombe?
Poleni sana mkuu ni kweli Presha ikipanda kwa kiwango hiko inaweza kusababisha Moyo, Figo kufeli na hasa kama alikuwa hajui juu ya Presha hiyo kuwa juu maana yake hata dawa hakuwa anatumia.Habar wakuu..nimerudi kuomba msaada kweni..nna ndugu yangu jinsia ya kiume Jana majibu yameonyesha figo zake zimefeli zote
Ni hivi huyu ndugu yangu ameanza kujiskia vibaya tangu majuzi kazidiwa akapelekwa hospital akakutwa na presha 220/105 nahajawahi kuugua presha .....wakamreferal mnh...mnh baada yakufanyiwa vipimo akabainika kuwa figo zote mbili zimefeli
Wakuu je wakuu presha ya gafla inaweza sababisha figo kufeli na vipi matibabu yake uwezekano wakupona
Wakuu je wakuu presha ya gafla inaweza sababisha figo kufeli na vipi matibabu yake uwezekano wakupona
Kwanini figo zikifeli watu wanakimbilia kuuliza pombe? Wakati kitakwimu pombe ni asilimia chache sana kwenye wagonjwa wengi wa figo!Alikua mnywa pombe?
Hapana hajawahi tumia madawa yoyote ya mda mrefuPole sana aliwahi kutumia madawa yoyote kwa mda mrefu ??
Mkuu pole sana nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia uapte kupona amradhi yako uguwa poleHabar wakuu..nimerudi kuomba msaada kweni..nna ndugu yangu jinsia ya kiume Jana majibu yameonyesha figo zake zimefeli zote
Ni hivi huyu ndugu yangu ameanza kujiskia vibaya tangu majuzi kazidiwa akapelekwa hospital akakutwa na presha 220/105 nahajawahi kuugua presha .....wakamreferal mnh...mnh baada yakufanyiwa vipimo akabainika kuwa figo zote mbili zimefeli
Wakuu je wakuu presha ya gafla inaweza sababisha figo kufeli na vipi matibabu yake uwezekano wakupona
Duh pole sana aisee😭😭Hapana hajawahi tumia madawa yoyote ya mda mrefu
Vp kuhusu gahwaHajawahi kuwa mnywa pombe Wala kuonja ladha ya pombe ya aina yoyote
Aisee na sasa unaendeleajeMimi nilipata changamoto ya Figo Kwa mda mfupi chanzo ni vidonge vya chanjo ya malaria na malaria yenyewe.