Fikiri Kuwa Sayari Tunayoishi ( Dunia) Ni Jehanamu Ya Sayari Nyingine...!

Ni kazi kubwa sana binadamu kujua ukweli ulioko kwenye ujinga tunaoufanya
Nashindwa kujua sababu ya watu kuhusisha thread hii na siasa
Inawezekana sisi ni wavivu wa kufikiri kuliko tunavyodhani!
 
Kwahiyo jehannam yadunia ita kuwa sayari gani? Maana shetani kesha sema dunia inaaisha 20. 12. 2012
 

Idea za Kwenye Ben 10 hizo!
 
Huwa tunaishi kwa vile tuviaminivyo,ukiamini hii ni mbingu basi maisha yatakuwa kama mbingu vivo hivo kwa jehannum
 
narejea wanasayansi wawili maarufu duniani, mmoja ni darwin na mwingine ni Carl max. darwin alisema viumbe vyote duniani vinashindana katika kuweza kuishi na vile vyenye nguvu vitaishi na vile vidhaifu vitaondoshwa. carl max alisema dunia yetu imetawaliwa na ugomvi(conflict) aliitazama dunia kama sehemu ya machafuko na ghasia, hakuona kama ina majadiliano ama makubaliano. hivyo kila kila binadamu au tabaka la watu lipo katika ugomvi.na dunia haiwezi kuendelea bila ugomvi. alisema pia ''conflict is an engine of social change'' and once a conflict is resolved then another one bigger emerged. nikiwatafakari hawa watu wawili napata picha dunia sio jehanum kama tutaweza kuwa responsive to change.haaiitaji uwe geneous aau una misuli yenye nguvu au jeshi kubwa la vita bali ikiwa utaweza kubadilika kuendana na mabadiliko utaweza ku-survive. hata nchi yetu kama tutakuwa na viongozi wenye vision na wakaweza kuendana na mabadiliko ya kiulimwengu tutauaga ila kwakuwa viongozi tuliowachagua ni 'vimeo' inatupa shida. mfano; USSR walikua na jeshi kubwa lakini hawakubadilika wakaishia wakawaacha Nato ikitamba ulimwenguni. hata marekani ilikuwa iishie lakini kwa kuingia obama na kuhubiri 'change' wameweza kuwepo hadi leo hii wao ni super power ulimwenguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…