Fikiri kwa kina kabla ya kuitisha press conference kama matamshi yako yatawaleta pamoja au yatawagawanya

Ulitaka awe dilema au kumtetea mtu kimtindo.Angejivika unafiki kamili.Hiyo ndiyo inaitwa being real!
 
CDM kimeishiwa watu wenye akili timamu limebaki genge la wahuni tu.
 
Siasa hazifungamani na ukweli hata sekunde. Wakweli wote kwenye siasa walifeli.

Siasa zinataka mtu muongo muongo, tapeli tapeli, mnafiki mnafiki, mwizi mwizi, fisadi fisadi, mwenye roho mbaya, mshirikina, muuaji, mpenda propaganda, kigeugeu, mjivuni, na Kila aina ya uchafu na makandokando. Wanasiasa wote ni walewale.

Wacha tuone mwisho wake
 
Mafisi ya maccm ya jf yote mko upande wa mbowe ni kwamba huyo mume wenu tumemstukia si mpinzan alikuwa anatulaghai tu imeisha hiyo
 
Lema hawezi kuvumilia damu na machozi ya waliojitoa kwa ajili ya Chama alafu hao watu Leo Mbowe anaona hawana thamani, kaamua kutumia Chama kufanya biashara yenye ushirika na CCM
 
Too late, Mbowe kaamua mwenyewe kukizamisha Chama kwa vipande vya Fedha kutoka kwa Sa100
 
Ad hominem.
Mpaka hapa Lema ameshinda kwa hoja zake. Amefanikiwa kuonesha usahihi wa alichosema kwa vile umeshindwa kujibu hoja zake unamshambulia yeye binafsi.
 
Lema,heche,lisu Wote press conference zao ni za kujitutumua zaidi na kumtukana Mbowe ila jamaa yupo kimyaaaaa.
Kumwambia mtu kweli ni kumtusi? Mna mentality za CCM mkubwa haàmbiwi kwani, kwenda huko na ujuha wenu.
 
Yote yameibuka baada ya kusema kweli kuhusu Sultani Mbowe, hamjadili aliyosema mapungufu ya Mbowe ambayo yameenda kinyume cha matarajio ya waliokiamini chama. Wapuuzi
 
Na tutaziita sana. Bado na leo na kesho pia. Sisi shida yetu ni Mbowe na tutadili nae peke yake! Tutamtwanga kweli kweli.
Wa kumshinda Mbowe hayupo! Subiri siku ya uchaguzi tuwapige! CHADEMA haiwezi kuendeshwa na mkimbizi!
 
Tangia lini CDM ikawa na watu wenye akili, chama cha manyumbu kimejaa wapuuzi sana... Ndiyo maana mbowe haoni mtu wa kumuachia uenyekit...
 
Lema ni wa hovyo sababu amesema hadharani kweli jinsi Mbowe alivyo mpungufu. Mapenzi mengine yanapofusha macho, CHADEMA ilipata umaarufu kwa kukemea rushwa na uovu. Leo ili kumuokoa Mbowe tunataka kweli isisemwe, tumeshuka kiasi hiki?

Sasa hoja siyo Lissu hana hekima, mropokaji. Hoja ni Lema kuwa ni wa hovyo. Sababu kwa nini hajamtetea na kuficha upuuzi wa Mbowe, tuzidi kusubiri maana kweli will prevail
 
Retired, you are really OLD school, Lema alikuwa perfect na kawaunganisha watu, hasa waliokuwa hawajui lolote. Wala hakumtukana Mwamba.
 
Halitasalia jiwe juu ya jiwe, uovu wote lazima ufunuliwe chama kisafishwe kirejeshe imani kwa wanachama wake
 
..lakini kama amesema ukweli basi kuna shida.
UKWELI MWINGINE AMBAO UTAVUNJA NDOA UNAACHA KUUSEMA.

UMEMKUTA MKE WA FULANI ANA CHEAT, UNAMWAMBIA MUME WAKE,,, UNA BUSARA KWEL?

MAANA CONSEQUENCES ZA KUSEMA ZITAPARAGANYISHA FAMILIA.

UNAWEZA KUMUITA MKE UKAMKANYA KUWA HILI ACHA, NEXT TIME LITAKUPA TALAKA MUME WAKO AKIJUA NA FAMILIA NA WATOTO WAKO WATAPATA SHIDA KWA VILE BADO WADOGO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…