fikiri madinda yuko wapi?

fikiri madinda yuko wapi?

mwakitundilo

Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
28
Reaction score
7
miaka michache kuna huyu mtu anaitwa fikiri madinda alikuwa akitajwa sana na karibu bendi zote za dansi nchini. siku hizi simsikii akitajwa tena, yuko wapi? kafariki? kafulia?
 
fikiri madinda yupo hai mara ya mwisho nimemuona jana dodoma anaendesha landcruiser mkonga STK sijui ni ya idara gani ya serikali. ni mchangamfu sana kama zamani ila suala la kisu sijui yuko vipi
 
Mbona nyerere kafariki lakini anatajwa tajwa...? Yupo wizara ya ujenzi dereva wa mkurugezi
 
kwani huyu anaejiita fikiri madinda,fb yupo available sana,ni dreva,maskan yake dom sana san....ni tofauti na huyo unaemuongelea ww?
 
fikiri madinda yupo hai mara ya mwisho nimemuona jana dodoma anaendesha landcruiser mkonga STK sijui ni ya idara gani ya serikali. ni mchangamfu sana kama zamani ila suala la kisu sijui yuko vipi

Ok,kumbe ni yy....amefuliaaaaaa
 
miaka michache kuna huyu mtu anaitwa fikiri madinda alikuwa akitajwa sana na karibu bendi zote za dansi nchini. siku hizi simsikii akitajwa tena, yuko wapi? kafariki? kafulia?



Katulia huyo!!maana mwenzie Aisha anataabika sasa!!!naye anamrudia Mungu katika sku hizi za uhai wake!!!!!!
 
kwani huyu anaejiita fikiri madinda,fb yupo available sana,ni dreva,maskan yake dom sana san....ni tofauti na huyo unaemuongelea ww?
Alimfauda Aisha(wakati huo Aisha kweli alikuwa Aisha),baada ya akina nani hii ii kufa zile dili zao zikawa kwishney na pesa ikapotea ndio maana humsikii akifagiliwa tena na wanamuziki,si unajua hapendwi mtu ,bali pochi tu
 
Nasikia eti Aisha Madinda kahamishia kukata mauno Kanisani!
 
fikiri yupo wizara ya chakula,limo na ushirika, Yukon dodoma makao ya Idara ya USHIRIKA!ametulia Yuko safi.
 
kwani huyu anaejiita fikiri madinda,fb yupo available sana,ni dreva,maskan yake dom sana san....ni tofauti na huyo unaemuongelea ww?

Ndo huyohuyo!posho za udereva ndo zilikuwa zikimpa jeuri hata kipindi kile mayowe mengi ila hajawahi kuwa na mpunga mrefu kama alivyokuwa anatisha raia wasiomjua!
 
miaka michache kuna huyu mtu anaitwa fikiri madinda alikuwa akitajwa sana na karibu bendi zote za dansi nchini. siku hizi simsikii akitajwa tena, yuko wapi? kafariki? kafulia?

Konda wa daladala,
Buguruni - Kariakoo
 
Nasikia eti Aisha Madinda kahamishia kukata mauno Kanisani!

Naye yalimpata kama ya Ray C akawa had anamenya viaz mabanda ya chips kino ili apate kidogodogo,life hili we acha tu, ngada plus ngoma imewazingua sana maaruf kunuka wa bongo
 
Watoto hawa tabu yao wanaKula brown sugar,tunaita makapi au sukariguru,lazima wanywee,fikiri madinda yuko anakaa g,mboto Sikh hizi anamenya viazi banda LA chips
 
Ni mke wake )kulingana na habari za mtaani)
Awali jamaa alikuwa wizara ya Kilimo kama dereva, kwa kuwa muda mwingi alikuwa na gari, usiku alikuwa akienda kuwabeba wanamuziki wa Twanga na kuwarudisha majumbani kwao, hapo ndipo alipompata Aisha Madinda ambaye alikuwa akiishi naye Sinza, hakuwahi kumuoa zaidi ya kuchapa, mambo yalipokuwa mabaya (fedha banaa) wakatosana na demu.... aaah aaaah
 
Back
Top Bottom