Fikiria kabla ya Kutema Big G kwa karanga za kuonjeshwa!

Fikiria kabla ya Kutema Big G kwa karanga za kuonjeshwa!

Karanga nyingine taaaam ajabu, kama zile tunazokula mtaani zinapitishwa kwenye kikapu, halafu za moto saaana

Hii mada ni hatari!'

Hivi zile karanga za kikapuni zinakuwa moto muda wote..nini siri yake jamani?
Tausi unajua hii siri?
 
i see mpe pole sana rafiki yako na mwambie athink twice maamuzi yake ,mwisho wa siku mwamuzi ni moyo.
 
mwambie afanye zileeeeeeeeeeee za enzi zile tukiwa wadogo, unatema big G then unakula hizo karanga na baadae unakula tena big G yako mpaka unaingia kitandani na ukiamka asubuhi either umeimeza au imeganda kitandani lol!!
 
Daahh
mie nikitema bi g yangu
Sitaki kuonja na taka nile kabisa hizo
karanga ..haina maana yeyote kuonja tu maana
saa nyingine itakuwa vigumu kuirudisha mdomoni..

Kha nahizo daladala
Itashika vumbi saa yeyote..
nzi je mmmhh.

Kwa hiyo ushauri wangu ni tema big g kula karanga
Au kula big g .. utamu ukiisha weka big g nyingine mdomoni
utamu utachanganyikana na ulewa kwanza..
 
tausi MZALENDO, watu hawana uzalendo moyoni,wangekua na uzalendo kama wewe jina lako,bas hali ingekua shwari.
 
Back
Top Bottom