Fikra duni ndio chanzo cha kupoteza ndoto za kijana?

Fikra duni ndio chanzo cha kupoteza ndoto za kijana?

Changer 22

Member
Joined
Jul 29, 2022
Posts
11
Reaction score
5
Inafahamika kwamba wazazi hasa wa Kiafrika huwa na mitazamo juu ya maisha ya watoto wao kuanzia elimu mpaka makuzi ya watoto wao ndio hutoa taswira ya maisha ya mtoto.

Lakini kwa upande mwingine wazazi wengi wa Kiafrika hasa waliyokulia kwenye nyakati za ukimaliza shule utapata kazi, hawaamini katika ndoto na kipaji cha mtoto hivyo hupelekea ndoto za vijana wengi kuishia kwenye elimu ya nadharia tu zaidi ya vitendo.

Kumbusho tu kuwa kwenye Karne ya 21 na kuendelea wanaofanikiwa zaidi ni wale wanaojua Karne ya 21 unataka nini na wafanye nini ili waishi kwenye mwanzo wa karne ya techologia na kipaji.

Wazazi badilikeni hasa kwenye mitizamo yenu juu ya ndoto za watoto wenu.
 
Tatzo ni umaskini wetu na serikali za Africa hazijawekeza kwenye rasilimali watu.watu wakitengenezewa mazingira ya kufanya wanachokipenda au kipaji vitaleta mabadiliko ya kifikra kwa watu wengi,maana kipaji huleta pesa
 
Tatzo ni umaskini wetu na serikali za Africa hazijawekeza kwenye rasilimali watu.watu wakitengenezewa mazingira ya kufanya wanachokipenda au kipaji vitaleta mabadiliko ya kifikra kwa watu wengi,maana kipaji huleta pesa
Kipi kifanyike na mabadiliko yaanzie wapi..?
1. Serikalini Kwa maana ya mfumo na uendeshaji wa elimu nchini..
2. Wazazi na mitizamo ya kizamani juu ya elimu na faida ya kusoma bila kuwa na msukumo kutoka kwenye mitizamo ya wazazi..
 
Back
Top Bottom