Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
Na yeyote anayekosea japo namna ya kuushika hata awe nani, anapewa adhabu kali ambayo ni ngumu kuisahau na ni funzo kubwa kwa wengine (wakati huohuo).
Sa' usiku wa kuamkia leo nimejaribu kufikiria sana kuwa:
Je, ikitokea Rais amejichanganya siku ya kuzima mwenge kitaifa, akavaa kaptura yake nyeupe, yebo nyekundu na singlendi ya zambarau. Akaenda mbele ya umma, akaurukia mwenge, akaanza kucheza nao kiduku, kisha akauweka begani na kuanza kukata nao mauno kwa shangwe, nderemo, ubishi na hasira, huku matukio yanarushwa live na vituo mbalimbali vya televisheni nchini na nje.
Ikithibitika kuwa akili zake ni timamu na hana tatizo lolote la ubongo, hapo askari/wanajeshi watamfanya nini?
Nimewaza sana yani.
Sa' usiku wa kuamkia leo nimejaribu kufikiria sana kuwa:
Je, ikitokea Rais amejichanganya siku ya kuzima mwenge kitaifa, akavaa kaptura yake nyeupe, yebo nyekundu na singlendi ya zambarau. Akaenda mbele ya umma, akaurukia mwenge, akaanza kucheza nao kiduku, kisha akauweka begani na kuanza kukata nao mauno kwa shangwe, nderemo, ubishi na hasira, huku matukio yanarushwa live na vituo mbalimbali vya televisheni nchini na nje.
Ikithibitika kuwa akili zake ni timamu na hana tatizo lolote la ubongo, hapo askari/wanajeshi watamfanya nini?
Nimewaza sana yani.