Fikra tamanifu za makamanda

Fikra tamanifu za makamanda

Hatua za mabadiliko sio lazima zikamilike vile unavyotaka wewe.na pia sio lazima zikamilike kwa wakati unaotaka wewe.Na pia sio lazima ukamilike wewe ukiwepo.
 
mawazo tamanifu [wishful thinking] = ningezaliwa kwenye familia ya Reginald Mengi(RIP) nisingekuwa hivi!
mawazo halisi = kama Bakhresa aliweza kwanini mimi nishindwe!
mawazo halisi= kwani CCM walitoka mbinguni, kwanini na sisi chadema hatuwezi kuwa na taasisi imara kama CCM badala ya kuwa saccos ya Mbowe
mawazo halisi= kama kura zinaibiwa basi ni ujinga wetu kwanini tusibuni mbinu ya kudhibiti wizi huu
 
Makamanda wamechanganyikiwa.

Hawajui kama wanaenda au wanakuja.

Sasa sikilizeni nyie makamanda [ingawa najua hamna uwezo mkubwa wa kufikiri kwa kutumia akili, lakini jitahidini kuelewa].

Ni hivi:

Rais Magufuli hatofikishwa huko kwenye mahakama ya kimataifa ya jinai.

Hatofikishwa kwa sababu hakuna sababu yoyote ile ya msingi, inayolazimu yeye kufikishwa huko na kushitakiwa.

Hizi kelele mnazopigishwa na huyo mgombea wenu wa 2025, Bob Amsterdam, ni fikra/ mawazo tamanifu tu.

Sina hakika kama mnalitambua hilo. Kwamba, hawezi kufikishwa huko.

Natambua ni kiasi gani fikra/ mawazo tamanifu [wishful thinking] yanavyoweza kumpa mtu faraja ya muda mfupi pindi apitiapo kipindi kigumu cha maumivu ya kihisia na kiakili.

Mawazo hayo tamanifu hutoa hifadhi ya faraja.

Na ndo maana mnapoona au mnaposikia sijui mwanaharakati gani wa Twitter amepeleka barua au sijui ushahidi huko kwenye hiyo mahakama ya kimataifa ya masuala ya jinai, mnafurahi, mnachekelea, bila hata kuangalia na kupima uhasilia na mwelekeo wa kile mnachokitaka, kutokea.

Mtu yeyote anaweza kutangaza kumshitaki yeyote yule au chochote kile, popote pale. Ukweli huo nadhani hamuuzingatii kwa uzito na u maanani unaostahili.

Licha ya kwamba Tanzania tuna matukio ya hapa na pale ya ukiukwaji wa haki za kibinadamu, bado hatujafikia viwango vya kushitakiwa rasmi kwenye hiyo mahakama.

Najua nyie makamanda huwa hampendi kuambiwa ukweli. Mnachokipenda ni maneno ya kufarijiana tu mpaka uchaguzi ujao.

Na uchaguzi ujao ukifika, haya ya 2020 mtakuwa mshayasahau kama ambavyo mmeyasahau yote ya 2015, 2010, 2005, 2000, na 1995.

Hivyo endeleeni kuota ndoto za mchana. Si Raisi Magufuli, Da Samia, Bw. Majaliwa, au Kamanda Sirro atayetiwa pingu na kupelekwa Uholanzi kusomewa mashitaka.

Najua mnapitia kipindi kigumu sana. Hivyo nawaelewa. Nazielewa fikra zenu tamanifu mlonazo.

Na ni fikra tu. Siyo uhalisia wala mwelekeo wa matukio ya kiuhalisia.
CC mama D
 
Makamanda wamechanganyikiwa.

Hawajui kama wanaenda au wanakuja.

Sasa sikilizeni nyie makamanda [ingawa najua hamna uwezo mkubwa wa kufikiri kwa kutumia akili, lakini jitahidini kuelewa].

Ni hivi:

Rais Magufuli hatofikishwa huko kwenye mahakama ya kimataifa ya jinai.

Hatofikishwa kwa sababu hakuna sababu yoyote ile ya msingi, inayolazimu yeye kufikishwa huko na kushitakiwa.

Hizi kelele mnazopigishwa na huyo mgombea wenu wa 2025, Bob Amsterdam, ni fikra/ mawazo tamanifu tu.

Sina hakika kama mnalitambua hilo. Kwamba, hawezi kufikishwa huko.

Natambua ni kiasi gani fikra/ mawazo tamanifu [wishful thinking] yanavyoweza kumpa mtu faraja ya muda mfupi pindi apitiapo kipindi kigumu cha maumivu ya kihisia na kiakili.

Mawazo hayo tamanifu hutoa hifadhi ya faraja.

Na ndo maana mnapoona au mnaposikia sijui mwanaharakati gani wa Twitter amepeleka barua au sijui ushahidi huko kwenye hiyo mahakama ya kimataifa ya masuala ya jinai, mnafurahi, mnachekelea, bila hata kuangalia na kupima uhasilia na mwelekeo wa kile mnachokitaka, kutokea.

Mtu yeyote anaweza kutangaza kumshitaki yeyote yule au chochote kile, popote pale. Ukweli huo nadhani hamuuzingatii kwa uzito na u maanani unaostahili.

Licha ya kwamba Tanzania tuna matukio ya hapa na pale ya ukiukwaji wa haki za kibinadamu, bado hatujafikia viwango vya kushitakiwa rasmi kwenye hiyo mahakama.

Najua nyie makamanda huwa hampendi kuambiwa ukweli. Mnachokipenda ni maneno ya kufarijiana tu mpaka uchaguzi ujao.

Na uchaguzi ujao ukifika, haya ya 2020 mtakuwa mshayasahau kama ambavyo mmeyasahau yote ya 2015, 2010, 2005, 2000, na 1995.

Hivyo endeleeni kuota ndoto za mchana. Si Raisi Magufuli, Da Samia, Bw. Majaliwa, au Kamanda Sirro atayetiwa pingu na kupelekwa Uholanzi kusomewa mashitaka.

Najua mnapitia kipindi kigumu sana. Hivyo nawaelewa. Nazielewa fikra zenu tamanifu mlonazo.

Na ni fikra tu. Siyo uhalisia wala mwelekeo wa matukio ya kiuhalisia.
Kwa synthesis analysis ya political events kwa Tanzania ya leo na joto lake la kisiasa kumpeleka Ngosha ICC unaweza kuamsha civil war, kwa kuwa kuna zaidi ya mikoa 8 au nusu ya Watanzania wakaona wanakuwa persecuted. Yaani ndugu yao kutawala imekuwa nongwa.

Inataka muono wa mbali kuweza kuona baadhi ya mambo muhimu kitaifa unapotaka kuyafanya.

Tusishangae Chadema kufutika au kupata msukosuko maeneo ya Mikoa ya, Mara, Mwanza, Shinyanga, Geita, Simiyu, Tabora, Katavi, Rukwa, Kagera part of Kigoma, part of Songwe, part of Singida.

Hata huyo Armterdam hapati ushauri makini.
 
Makamanda wamechanganyikiwa.

Hawajui kama wanaenda au wanakuja.

Sasa sikilizeni nyie makamanda [ingawa najua hamna uwezo mkubwa wa kufikiri kwa kutumia akili, lakini jitahidini kuelewa].

Ni hivi:

Rais Magufuli hatofikishwa huko kwenye mahakama ya kimataifa ya jinai.

Hatofikishwa kwa sababu hakuna sababu yoyote ile ya msingi, inayolazimu yeye kufikishwa huko na kushitakiwa.

Hizi kelele mnazopigishwa na huyo mgombea wenu wa 2025, Bob Amsterdam, ni fikra/ mawazo tamanifu tu.

Sina hakika kama mnalitambua hilo. Kwamba, hawezi kufikishwa huko.

Natambua ni kiasi gani fikra/ mawazo tamanifu [wishful thinking] yanavyoweza kumpa mtu faraja ya muda mfupi pindi apitiapo kipindi kigumu cha maumivu ya kihisia na kiakili.

Mawazo hayo tamanifu hutoa hifadhi ya faraja.

Na ndo maana mnapoona au mnaposikia sijui mwanaharakati gani wa Twitter amepeleka barua au sijui ushahidi huko kwenye hiyo mahakama ya kimataifa ya masuala ya jinai, mnafurahi, mnachekelea, bila hata kuangalia na kupima uhasilia na mwelekeo wa kile mnachokitaka, kutokea.

Mtu yeyote anaweza kutangaza kumshitaki yeyote yule au chochote kile, popote pale. Ukweli huo nadhani hamuuzingatii kwa uzito na u maanani unaostahili.

Licha ya kwamba Tanzania tuna matukio ya hapa na pale ya ukiukwaji wa haki za kibinadamu, bado hatujafikia viwango vya kushitakiwa rasmi kwenye hiyo mahakama.

Najua nyie makamanda huwa hampendi kuambiwa ukweli. Mnachokipenda ni maneno ya kufarijiana tu mpaka uchaguzi ujao.

Na uchaguzi ujao ukifika, haya ya 2020 mtakuwa mshayasahau kama ambavyo mmeyasahau yote ya 2015, 2010, 2005, 2000, na 1995.

Hivyo endeleeni kuota ndoto za mchana. Si Raisi Magufuli, Da Samia, Bw. Majaliwa, au Kamanda Sirro atayetiwa pingu na kupelekwa Uholanzi kusomewa mashitaka.

Najua mnapitia kipindi kigumu sana. Hivyo nawaelewa. Nazielewa fikra zenu tamanifu mlonazo.

Na ni fikra tu. Siyo uhalisia wala mwelekeo wa matukio ya kiuhalisia.
Mkuu Nyani Ngabu,

You nailed right on the aorta the spear that may cause sentiments suffocation thereby he who hears and sees may immediately consult the psychiatrist for the current mental stampede by a few critics for a temporary comfort.
 
Mkuu Nyani Ngabu,

You nailed right on the aorta the spear that may cause sentiments suffocation thereby he who hears and sees may immediately consult the psychiatrist for the current mental stampede by a few critics.
Ouch!!
 
Makamanda wamechanganyikiwa.

Hawajui kama wanaenda au wanakuja.

Sasa sikilizeni nyie makamanda [ingawa najua hamna uwezo mkubwa wa kufikiri kwa kutumia akili, lakini jitahidini kuelewa].

Ni hivi:

Rais Magufuli hatofikishwa huko kwenye mahakama ya kimataifa ya jinai.

Hatofikishwa kwa sababu hakuna sababu yoyote ile ya msingi, inayolazimu yeye kufikishwa huko na kushitakiwa.

Hizi kelele mnazopigishwa na huyo mgombea wenu wa 2025, Bob Amsterdam, ni fikra/ mawazo tamanifu tu.

Sina hakika kama mnalitambua hilo. Kwamba, hawezi kufikishwa huko.

Natambua ni kiasi gani fikra/ mawazo tamanifu [wishful thinking] yanavyoweza kumpa mtu faraja ya muda mfupi pindi apitiapo kipindi kigumu cha maumivu ya kihisia na kiakili.

Mawazo hayo tamanifu hutoa hifadhi ya faraja.

Na ndo maana mnapoona au mnaposikia sijui mwanaharakati gani wa Twitter amepeleka barua au sijui ushahidi huko kwenye hiyo mahakama ya kimataifa ya masuala ya jinai, mnafurahi, mnachekelea, bila hata kuangalia na kupima uhasilia na mwelekeo wa kile mnachokitaka, kutokea.

Mtu yeyote anaweza kutangaza kumshitaki yeyote yule au chochote kile, popote pale. Ukweli huo nadhani hamuuzingatii kwa uzito na u maanani unaostahili.

Licha ya kwamba Tanzania tuna matukio ya hapa na pale ya ukiukwaji wa haki za kibinadamu, bado hatujafikia viwango vya kushitakiwa rasmi kwenye hiyo mahakama.

Najua nyie makamanda huwa hampendi kuambiwa ukweli. Mnachokipenda ni maneno ya kufarijiana tu mpaka uchaguzi ujao.

Na uchaguzi ujao ukifika, haya ya 2020 mtakuwa mshayasahau kama ambavyo mmeyasahau yote ya 2015, 2010, 2005, 2000, na 1995.

Hivyo endeleeni kuota ndoto za mchana. Si Raisi Magufuli, Da Samia, Bw. Majaliwa, au Kamanda Sirro atayetiwa pingu na kupelekwa Uholanzi kusomewa mashitaka.

Najua mnapitia kipindi kigumu sana. Hivyo nawaelewa. Nazielewa fikra zenu tamanifu mlonazo.

Na ni fikra tu. Siyo uhalisia wala mwelekeo wa matukio ya kiuhalisia.
Mhenga umemaliza kazi hapo👍
 
Si makamanda wote wa chadema tunawaza hivyo, kuna ambao tunajielewa hatuwezi kuwaza ujinga kama huo.
Mimi nipo tofauti na wao, na hili tatizo la kutamani yasiyowezekana limefika hadi kwa viongozi wakuu wa chama.
Hongera.
 
Maoni yako ni sahihi kabisa.

1. Ili mashtaka yawe na uzito ICC ni lazima yawe na sifa ya kuwa 'serious concern for Int' community'. Sasa hawa wanaoshabikia ICC wapime haya wanayoyaita uhalifu kama yanafit mzania huo. Wajiulize pia kwanini mabalozi wote walitoa wito wa 'mamlaka za nchi kushughulikia'. Jambo la Muhimu kukosekana kwa muitikio wa watz kwenye maandamano iliepusha mtego wa 'matumizi ya nguvu za dola' ambao ungetengeneza mazingira ya serious crime against humanity-ambalo ndio wangeshtakiwa nalo kina siro. Ndio maana Lissu alikuwa na wimbo wa kuingiza watu barabarani.

2. CDM & ACT are solving the wrong problem. Tatizo sahihi ni 'uwepo wa vyama vingi katika mazingira ya kisheria yanayopendelea chama tawala'. Zama za CCM 'kula na kipofu' kwa kuwaachia upinzani baadhi ya majimbo, hazipo, walipaswa kulisoma hili 2019 kwenye LG election(ambao kimsingi hutoa uelekeo wa G Election). Kuendelea kulobby kwenye corridors za int' agencies is to solve a wrong problem.
 
Mbona naona wewe unateseka sana kuliko hao makamanda ??

Thread ya ngapi hii ??

Nchi hii ina watu milioni 60 lakini mijitu imekomaa CHADEMA CHADEMA CHADEMA CHADEMA CHADEMA CHADEMA.

Kweli Mibongo ni mibongo tu.

Takataka
 
Makamanda wamechanganyikiwa.

Hawajui kama wanaenda au wanakuja.

Sasa sikilizeni nyie makamanda [ingawa najua hamna uwezo mkubwa wa kufikiri kwa kutumia akili, lakini jitahidini kuelewa].

Ni hivi:

Rais Magufuli hatofikishwa huko kwenye mahakama ya kimataifa ya jinai.

Hatofikishwa kwa sababu hakuna sababu yoyote ile ya msingi, inayolazimu yeye kufikishwa huko na kushitakiwa.

Hizi kelele mnazopigishwa na huyo mgombea wenu wa 2025, Bob Amsterdam, ni fikra/ mawazo tamanifu tu.

Sina hakika kama mnalitambua hilo. Kwamba, hawezi kufikishwa huko.

Natambua ni kiasi gani fikra/ mawazo tamanifu [wishful thinking] yanavyoweza kumpa mtu faraja ya muda mfupi pindi apitiapo kipindi kigumu cha maumivu ya kihisia na kiakili.

Mawazo hayo tamanifu hutoa hifadhi ya faraja.

Na ndo maana mnapoona au mnaposikia sijui mwanaharakati gani wa Twitter amepeleka barua au sijui ushahidi huko kwenye hiyo mahakama ya kimataifa ya masuala ya jinai, mnafurahi, mnachekelea, bila hata kuangalia na kupima uhasilia na mwelekeo wa kile mnachokitaka, kutokea.

Mtu yeyote anaweza kutangaza kumshitaki yeyote yule au chochote kile, popote pale. Ukweli huo nadhani hamuuzingatii kwa uzito na u maanani unaostahili.

Licha ya kwamba Tanzania tuna matukio ya hapa na pale ya ukiukwaji wa haki za kibinadamu, bado hatujafikia viwango vya kushitakiwa rasmi kwenye hiyo mahakama.

Najua nyie makamanda huwa hampendi kuambiwa ukweli. Mnachokipenda ni maneno ya kufarijiana tu mpaka uchaguzi ujao.

Na uchaguzi ujao ukifika, haya ya 2020 mtakuwa mshayasahau kama ambavyo mmeyasahau yote ya 2015, 2010, 2005, 2000, na 1995.

Hivyo endeleeni kuota ndoto za mchana. Si Raisi Magufuli, Da Samia, Bw. Majaliwa, au Kamanda Sirro atayetiwa pingu na kupelekwa Uholanzi kusomewa mashitaka.

Najua mnapitia kipindi kigumu sana. Hivyo nawaelewa. Nazielewa fikra zenu tamanifu mlonazo.

Na ni fikra tu. Siyo uhalisia wala mwelekeo wa matukio ya kiuhalisia.
Makamanda wanahitaji ushauri wa kisaikoloji!
 
Kama Jiwe hatapelekwa huko wewe unaumia nini? Pili anayepangwa kupelekwa ni Jiwe na wala siyo wewe so kufanikiwa au kufeli kwa Jambo hilo sidhani kama lina uhusiano na wewe.
 
Tusishangae Chadema kufutika au kupata msukosuko maeneo ya Mikoa ya, Mara, Mwanza, Shinyanga, Geita, Simiyu, Tabora, Katavi, Rukwa, Kagera part of Kigoma, part of Songwe, part of Singida.
Wewe huelewi kitu. Huko ulikotaja hilo lichama la kikoloni halitakiwi kabsaa. Fanya utafiti kidogo ulete mrejesho
 
Sidhani kama Ufipa watakuelewa!
Umaskini mbaya sana sana sana
Mkuu najua maisha yanakusumbua sana

Kwa wataalamu wa saikolojia wanafahamu namaanisha kitu gani

You are done and you are out of DSM regime
 
Makamanda wamechanganyikiwa.

Hawajui kama wanaenda au wanakuja.

Sasa sikilizeni nyie makamanda [ingawa najua hamna uwezo mkubwa wa kufikiri kwa kutumia akili, lakini jitahidini kuelewa].

Ni hivi:

Rais Magufuli hatofikishwa huko kwenye mahakama ya kimataifa ya jinai.

Hatofikishwa kwa sababu hakuna sababu yoyote ile ya msingi, inayolazimu yeye kufikishwa huko na kushitakiwa.

Hizi kelele mnazopigishwa na huyo mgombea wenu wa 2025, Bob Amsterdam, ni fikra/ mawazo tamanifu tu.

Sina hakika kama mnalitambua hilo. Kwamba, hawezi kufikishwa huko.

Natambua ni kiasi gani fikra/ mawazo tamanifu [wishful thinking] yanavyoweza kumpa mtu faraja ya muda mfupi pindi apitiapo kipindi kigumu cha maumivu ya kihisia na kiakili.

Mawazo hayo tamanifu hutoa hifadhi ya faraja.

Na ndo maana mnapoona au mnaposikia sijui mwanaharakati gani wa Twitter amepeleka barua au sijui ushahidi huko kwenye hiyo mahakama ya kimataifa ya masuala ya jinai, mnafurahi, mnachekelea, bila hata kuangalia na kupima uhasilia na mwelekeo wa kile mnachokitaka, kutokea.

Mtu yeyote anaweza kutangaza kumshitaki yeyote yule au chochote kile, popote pale. Ukweli huo nadhani hamuuzingatii kwa uzito na u maanani unaostahili.

Licha ya kwamba Tanzania tuna matukio ya hapa na pale ya ukiukwaji wa haki za kibinadamu, bado hatujafikia viwango vya kushitakiwa rasmi kwenye hiyo mahakama.

Najua nyie makamanda huwa hampendi kuambiwa ukweli. Mnachokipenda ni maneno ya kufarijiana tu mpaka uchaguzi ujao.

Na uchaguzi ujao ukifika, haya ya 2020 mtakuwa mshayasahau kama ambavyo mmeyasahau yote ya 2015, 2010, 2005, 2000, na 1995.

Hivyo endeleeni kuota ndoto za mchana. Si Raisi Magufuli, Da Samia, Bw. Majaliwa, au Kamanda Sirro atayetiwa pingu na kupelekwa Uholanzi kusomewa mashitaka.

Najua mnapitia kipindi kigumu sana. Hivyo nawaelewa. Nazielewa fikra zenu tamanifu mlonazo.

Na ni fikra tu. Siyo uhalisia wala mwelekeo wa matukio ya kiuhalisia.
Taabu taabu ,matatizo matatizo

Hakuna anayekufahamu ccm

Unapiga maneno tu,Tafuta pesa mkuu

Hizi nyuzi hazitambuliki ccm,mnajifurahisha tu hakuna anayekufahamu chamani

Pole sana sana
 
Back
Top Bottom