Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo family background za viongozi wetu wa siasa, ogopa kutawaliwa na mtu alie toka kwenye familia duni ya kimasikini lazima akiingia madarakani lazma afidie mateso alio pitia, kwa mfano viongozi wa Japani hawawezi kutumia hayo magari japo wanayategeneza wenyewe.View attachment 2434095
Yaani pamoja na kuwa na magari ya bei rahisi kuna sababu gani ya serikali kutumia pesa yote hii kwenye magari?
Tatizo family background za viongozi wetu wa siasa, ogopa kutawaliwa na mtu alie toka kwenye familia duni ya kimasikini lazima akiingia madarakani lazma afidie mateso alio pitia, kwa mfano viongozi wa Japani hawawezi kutumia hayo magari japo wanayategeneza wenyewe.
Kwenye utawala alikua peke yake nakuambia hivi adui wa masikini ni masikini mwenyewe sio mwenye pesa........sisi masikini tuna taabika kwasabb viongozi wetu wengi walitoka kwenye familia za kimasikinihizi story hazina uhalisia,jk mtoto wa zuria jeupe balaa lake unalijua???
CCM haijali kabisa shida za wananchi wa chini. Elimu ya hovyo, huduma za afya za hovyo, hali mbaya ya uchumi.... wao wao busy na kufanya anasa na ufisadi wa mali za umma.View attachment 2434095
Yaani pamoja na kuwa na magari ya bei rahisi kuna sababu gani ya serikali kutumia pesa yote hii kwenye magari?
Atleast apo wasema wanaangalia usala na standards ila malipo na posho za viongozi sababu ya kuwajazia mafuta na kuwalipa madereva wao ni Nini?View attachment 2434095
Yaani pamoja na kuwa na magari ya bei rahisi kuna sababu gani ya serikali kutumia pesa yote hii kwenye magari?
Bado gharama za mafuta aisee na yanakula wese balaahView attachment 2434095
Yaani pamoja na kuwa na magari ya bei rahisi kuna sababu gani ya serikali kutumia pesa yote hii kwenye magari?
Kwenye gharama hii unayoiongelea wewe hapa, kunaweza kukawa na off-set inayotokana na fedha ambayo Serikali huwa inazipokea baada ya kuwa ime-dispose-off kkwa kuwauzia raia, magari yale ambayo inaacha kuyatumia, kwa maana kwamba:View attachment 2434095
Yaani pamoja na kuwa na magari ya bei rahisi kuna sababu gani ya serikali kutumia pesa yote hii kwenye magari?
Kwenye gharama hii unayoiongelea wewe hapa, kunaweza kukawa na off-set inayotokana na fedha ambayo Serikali huwa inazipokea baada ya kuwa ime-dispose-off kkwa kuwauzia raia, magari yale ambayo inaacha kuyatumia, kwa maana kwamba:
Magari yale ambayo Serikali huwa wanaacha kuyatumia, huwa wanauzia watu raia kwa bei nafuu mno na yakiwa bado yako kwenye hali nzuri mno kwa sababu inakuwa iliyanunua yakiwa brand new
Kwa kufanya hivyo, Serikali huwa inawasaidia wanachi wake kununua magari mazuri kwa bei nafuu, magari ambayo kama wangeagiza nje, wangeweza kutumia fedha nyingi mno, pengine kuzidi hata hii ambayo Serikali huwa inatumia
Kwa hiyo katika hili unaweza ukakuta kuwa gharama wanayotumia Serikali kununua magari, kwa kiasi kikubwa sana huwa ni ruzuku kwa watanzania ambao huwa wanabahatika kununua magari ya Serikali ambayo huwa yanakuwa disposed-off baada ya Serikali kuwa imenunua magari mengine mapya
Inawasaidia wananchi mafisadi na mabwanyenye waliopo serikalini sio mimi na wewe.Kwenye gharama hii unayoiongelea wewe hapa, kunaweza kukawa na off-set inayotokana na fedha ambayo Serikali huwa inazipokea baada ya kuwa ime-dispose-off kkwa kuwauzia raia, magari yale ambayo inaacha kuyatumia, kwa maana kwamba:
Magari yale ambayo Serikali huwa wanaacha kuyatumia, huwa wanauzia watu raia kwa bei nafuu mno na yakiwa bado yako kwenye hali nzuri mno kwa sababu inakuwa iliyanunua yakiwa brand new
Kwa kufanya hivyo, Serikali huwa inawasaidia wanachi wake kununua magari mazuri kwa bei nafuu, magari ambayo kama wangeagiza nje, wangeweza kutumia fedha nyingi mno, pengine kuzidi hata hii ambayo Serikali huwa inatumia
Kwa hiyo katika hili unaweza ukakuta kuwa gharama wanayotumia Serikali kununua magari, kwa kiasi kikubwa sana huwa ni ruzuku kwa watanzania ambao huwa wanabahatika kununua magari ya Serikali ambayo huwa yanakuwa disposed-off baada ya Serikali kuwa imenunua magari mengine mapya
Issue ya kwamba nani kauziwa na nani hajauziwa, hilo sasa linakuwa ni swala jingine tena, ila hatuwezi kusema kuwa kuna hasara kwenye ununuzi wa magari hayo, hapana hasara haipo isipokuwa badala yake kuna faidaInawasaidia wananchi mafisadi na mabwanyenye waliopo serikalini sio mimi na wewe.
Wewe huwezi kununua hizo gari hata utambike uchi.
Hakuna tena minada siku hizi? I used to hear minada's even at my place of work. Nani tena ameiiba minada hii tumtafute na tumshughulikie kisawasawa?Watanzania tuna utamaduni wa kuongea vitu bila data! Hizo data ziko wapi? Hapa tunaongea facts sio vitu ambavyo ni mawazo maana tunaongelea vitu halisi. Tuambie hiyo minada imefanyika lini, wapi na kwanini pesa haijatangazwa na CAG
Kwamba Bibi kizee anavalishwa nguo mpya aonekane kijana?Billion 558 kununulia magari tena mapya lakini vichwa vya treni na mabehewa kununua vyuma chakavu kuvikarabati na kutia nakshi. 🤔