Nimepata mawazo kupitia aya hii, wengi walikuwa wakiuliza kuhusu sayari zilizibakia zina kazi gani?, kwamfano mars, jupiter, venus nanyenginezo naweza sema kuwa wale watu walioangamizwa walikuwa wanaishi katika hizo sayari na kila walikuwa wakiangamizwa sayari inatengenezwa nyengine wanahamia kwengine mpaka ikafikia sayari ya dunia ambayo tupo viumbe sisi tulipo (Earth) so sayari hizo zilienda kwa series mpaka watu wakafanikiwa kuziona sayari 9 ktk solar system tukiacha zile maicro planet, kwamfano watu walioangamizwa watu wa Nabii Luti, Salah, Nuhu na wengineo, katika dunia ya sasa imeonekana kuchomoza kwa kitu ambacho wanakinasibisha na sayari (nibur au planet x) hivo basi kutokana na uovu wa mwanadamu kupitiliza, sayari ya nibur /planet x inakuja kuchukua nafasi ya Sayari ya dunia (Earth) since sayari X itakuja na maangamizi katika sayari ya dunia na kupelekea kupotea viumbe vyote vilivyopo dunia na sayari ya dunia itakuwa ni somo kama sayari nyengine