Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Jamaa muongo kishenzi eti andazi π π π πkuna ile ya jini kabula sijui mtu akatofolewa kifua akatolewa moyo halafu akaula!,ukiangalia vyema ule haukuwa moyo ni andazi!!, sema nini nsyuka inavutia inapoanza jamaa linachomoka kutoka kwenye kaburi haloo hizi mutu zilinifanya nisitumwe ndani usiku peke yangu!.
Graphics tukuna ile ya jini kabula sijui mtu akatofolewa kifua akatolewa moyo halafu akaula!,ukiangalia vyema ule haukuwa moyo ni andazi!!, sema nini nsyuka inavutia inapoanza jamaa linachomoka kutoka kwenye kaburi haloo hizi mutu zilinifanya nisitumwe ndani usiku peke yangu!.
Unaiogopa ya kiboya ππNsyuka ulikuwa movie ya Kiboya Sana ,Ila ilitisha sana miaka ile
Nilikuwa naogopa sana ikifika night !
Njoo DMWana forum...naombeni msaada natafuta sehemu ya kwenda kufanyia field nipo chuo cha Taifa Cha usafirishaji (NIT)mwaka wa kwnza kozi ya human resources management nimejarbu kupelka barua sehemu mbalimbali nimekosa wengne hawapokei kabsa vijana wa field,na field n mwezi huu wa Saba tarehe 29 ndo tunaanza. Mwenyw anaweza kunisaidia tafadhari π
Yes ,ni andazi linafanyiwa graphics, kuna jaamaa amewahi elezeat namna zinatengenezwa humu nadhami kupitia jukwaa la teknolojiaJamaa muongo kishenzi eti andazi π π π π
Broo nashindwa namna ya kuja DM hap jamii forumNjoo DM
Umuhimu wa elimu yako uko wapi sasa?Broo nashindwa namna ya kuja DM hap jamii forum
Ukiwa na elimu n vyote unakuwa unajua?Umuhimu wa elimu yako uko wapi sasa?
Nakushauri acha chuo.Ukiwa na elimu n vyote unakuwa unajua?
Hapana kama unaweza kunielkeza hapo jamii forum namna gani ya kumfata mtu dm nisaidieNakushauri acha chuo.