Filamu hizi tano zimenifanya nione nchi Afrika Kûsini ni kinara wa kutoa Movies Kali Afrika

Filamu hizi tano zimenifanya nione nchi Afrika Kûsini ni kinara wa kutoa Movies Kali Afrika

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Nje na kuandika na kusoma vitabu na Makala mbalimbali. Ninapenda Sana kuangalia Filamu.

Kwa Hapa Afrika nimejikuta nikivutiwa na Filamu za Afrika ya Kûsini.

Nigeria wanakibarua kizito Kwa washindani waô yàani South Africa.

Kaangalie vyuma vifuatavyo Kutoka Bondeni alafu uje Hapa kunishukuru:

1. King of Johannesburg ( Joburg)
2. Savage Beauty
3. Queen of Sono
4. Fatal seduction
5. Shaka Ilembe.

Ukipata Muda fuatilia vyuma hivyo.

Uje unishukuru
 
Kwema Wakuu!

Nje na kuandika na kusoma vitabu na Makala mbalimbali. Ninapenda Sana kuangalia Filamu.
Kwa Hapa Afrika nimejikuta nikivutiwa na Filamu za Afrika ya Kûsini.

Nigeria wanakibarua kizito Kwa washindani waô yàani South Africa.

Kaangalie vyuma vifuatavyo Kutoka Bondeni alafu uje Hapa kunishukuru:

1. King of Johannesburg ( Joburg)
2. Savage Beauty
3. Queen of Sono
4. Fatal seduction
5. Shaka Ilembe.

Ukipata Muda fuatilia vyuma hivyo.

Uje unishukuru
Thanks for sharing ,nitazitafuta.
 
Back
Top Bottom