Filamu kali zilizotamba kipindi hiko.

Baba lao ni Delta Force 3....the killing game.... Russians and Americans wameungana....lakini conflicts kibao.... Nice throw.... Nice catch[emoji13] [emoji13]
 
Muogo mchungu,

Kigodoro cha Pemba by mZee Kessy.

Kiluilui cha baharini by Jimmy Kelly
 
Tafuta Detonator ya Winsley Snipes... Au Payback ya Mel Gibson.... Utaenjoy[emoji12] [emoji12]
 
Nelia
Yellow Card
Kiongozi, hukumaanisha NERIA ile ya Zimbabwe.

Kama ni hiyo, kwa kweli inasikitisha sana.

Mjane NERIA anavyonyanyaswa na Shemeji yake.

Kwenye Mirathi Shemeji wa NERIA hakutaka Shemejie aambulie chochote, pamoja ya kuwa Marehemu Mdogo wake ameacha Mke na Watoto wawili.

Filamu hii inasikitisha sana
 
Mamaee
 
Upo vizuri
 
First Blood... Sylvester Stallone

Loha.... Ya kihindi hiyo...

War bus nayo ya muda mrefu..

Za James Bond nyingine si za muda mrefu... Labda za Sean Connery...
Hivi naweza kupata wapi movie ya LOHA yenye quality nzuri japo kidogo wakuu? Hii movie naitamani sana niliiona enzi za 90s....asante sana kwa kumbukumbu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…