Filamu na maigizo ya Hollywood yanaiharibu dunia

Filamu na maigizo ya Hollywood yanaiharibu dunia

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Ningepewa fursa ya kuchagua generation ipi niishi basi chaguo langu lingekuwa kuz 1880 - kuf 1960 maana huu utandawazi uchaniacha salama nimekuwa mtumwa ili kuendana na kasi ya maisha ya karne ya 21.

Turudi kwenye mada. Filamu hutuburudisha na pia hutufundisha lakini kwa trend ya filamu za Hollywood, sasa ni wazi kuwa zimechoka kutufundisha na kuamua kutumia nguvu kubwa kutuharibu kwa kutumia maStar wenye ushawishi.

Hii ni mifano halisi ya filamu zinazopendwa ila zina maudhui ya kuharibu jamii:

- Game of Thrones
- Shameless
- Banshee
- Power
- Empire

Hizi zote zina maudhui ya ngono tena ya jinsia moja ( Ushoga & Usagaji) na pia ndio series vijana tunazozikubali zimejaa kwenye flash na PC zetu.

Naomba kukiri:

Filamu za Hollywood zimenifanya nione baadhi ya aya mambo ni kawaida lakini kiuhalali sio ya kawaida kama.
1. Kuzama chumvini
2. Ngono kinyume na maumbile.
3 Ushoga na Usagaji
4. Kuwa na mahusiano na aliyezidi umri (age is just a number)

Cha muhimu sisi (mimi na wewe) kama jamii tukubali kuwa tupo kwenye dunia yenye uovu tunahitaji kujiupgrade kimwili na kiakili tuweze kupambana na uovu tusije kuangukia kwenye utumwa wa dhambi kwa kuona ndio usasa.
 
Shameless, series yangu pendwa! Unachokiona kwenye sinema za Hollywood kipo tu huku mtaani kwa "level" ya huku huku hata kabla wenzetu hwajakionyesha kwenye maigizo yao! Tumejifunza kupaa kwa ungo hata kabla Harry Potter hajajifunza kupaa na mfagio!
 
Kuna ukweli kwa hili...

Kampeni zinapigwa na wanafanikiwa ..sasa hivi inaelekea watu waone kuwa hayo ni mambo ya kawaida!
Huo ndo ukweli, japo wengi watapinga.. Mwanzoni nilikua mpenzi sana wa Game of Throne, ila sasa... Ni kampeni za wazi kabisa bila hata kutumia akili kubwa kutambua. Kwa wale walio onja shule ya saikolojia japo kidogo wataelewa ni namna gani akili inavyoweza kubadilishwa, kuaminishwa na hatimaye kubadilishwa kabisa na kuona mambo hayo ni kawaida. Ukweli watafanikiwa, mtego mkubwa ni kuweka wahusika wenye mvuto, wanaopendwa tena katika scenes zilizo kuu.


In psychology, sublimation is a mature type of defense mechanism, in which socially unacceptable impulses or idealizations are transformed into socially acceptable actions or behavior, possibly resulting in a long-term conversion of the initial impulse.

Hii ni sehemu ya somo la saikolojia (defence mechanism and altitude), jaribu ku-Google (usome aina ya defence mechanism & altitude)
 
Tatizo Bongowood hawatupi kile tunachotaka ndo maana tunahamia huko
 
Siku hizi movies karibia zote zina mambo ya ushoga na au mapenzi ya kinyume na maumbile,hilo halikwepeki
 
BabaMorgan, Toka dunia imeanza, binadamu wamejitambua
1. Hakujawahi wepo misingi ya aina gani ya style ya mapenzi ni sahihi! (hakuna sehemu kuzama chumvini wamesema ni dhambi/kosa).
2. Toka binadam anajitambua kufanya mapenzi kinyume na maumbile kupo, matajiri wa kigiriki walikuwa wanamiliki vidogo vya kuf$&a kama unavyomiliki smartphone leo, ili kuilinda bikra wanawake walikuwa wanatoa tigo, Rutu mwenyewe alikuwa tayari achia mabinti zake waliwe mradi wageni wake wapone etc.
4. Unajua kuwa wazee wa kiafrika walikuwa wanaoa vitoto na vinaenda kuzwa ukweni!, unajua Mudy SAW alioa mtu mzima?, je umri wa Yakobo kwa Rebeca ulikuaje?.

Hakuna kitu Holywood wanachokileta kipya sema wewe ndio unaipata exposure ya tamaduni zingine!.
 
Mkuu zaid zaid hap umezi promote tu hizo series ulizozitaja maana nilikua siijui hata moja
 
😂😂😂 hajiulizi imekuaje biblia ikavikataza kipindi hiko wakati vinaonekana kipindi hiki, kwa simple mind tu ni kwamba toka kipindi cha Musa watu wanatinduana!!.
Wala sio uongo umeongea ukweli kabisa.. kipindi kile kwanza ilikua kama ni njia ya kujiimarisha kiroho.. watu wamefanya sana hiyo michezo. Hakuna jipya chini ya jua
 
Nyakati za Rutu waliona wapi?
Ni kweli aya mambo yalikuwepo toka enzi lakini ukubwa wa jambo kipindi hicho uwezi kuufananisha na sasa ukweli ni kuwa hizi filamu zinaangaliwa na namba kubwa ya watu na kawaida kila mtu kuna Jinsi anavyolipokea jambo ila kwa nature yetu wengi tunatabia ya kujaribu mambo mapya tena especially tunapowaona watu tunaowakubali wanafanya hayo tunajipa greenlight kuyafanya bila kujali matokeo so point itabaki vilevile kuwa filamu za Hollywood zimekuwa kichochea kikubwa kwa aya mambo kutendeka kwa kasi bila ya kujali yalikuwepo toka enzi na enzi.
 
Kama mapenzi ya jinsia moja yanakukera, tengeneza movie yako yenye mapenzi ya jinsia tofauti!

Halafu hayo mapenzi ya jinsia tofauti hayaharibu "maadili"..?
Usiangalie kukera tu Bali jaribu kuangalia na usahihi wa jambo tuliumbwa jinsia mbili tofauti ili kutegemeana kwa hiyo mapenzi ya jinsia moja ni kwenda tofauti na uhalisia.
 
BabaMorgan, Toka dunia imeanza, binadamu wamejitambua
1. Hakujawahi wepo misingi ya aina gani ya style ya mapenzi ni sahihi! (hakuna sehemu kuzama chumvini wamesema ni dhambi/kosa).
2. Toka binadam anajitambua kufanya mapenzi kinyume na maumbile kupo, matajiri wa kigiriki walikuwa wanamiliki vidogo vya kuf$&a kama unavyomiliki smartphone leo, ili kuilinda bikra wanawake walikuwa wanatoa tigo, Rutu mwenyewe alikuwa tayari achia mabinti zake waliwe mradi wageni wake wapone etc.
4. Unajua kuwa wazee wa kiafrika walikuwa wanaoa vitoto na vinaenda kuzwa ukweni!, unajua Mudy SAW alioa mtu mzima?, je umri wa Yakobo kwa Rebeca ulikuaje?.

Hakuna kitu Holywood wanachokileta kipya sema wewe ndio unaipata exposure ya tamaduni zingine!.
Swali. Je mtu akikuletea tamaduni mpya kwenye jamii yako bila kujali hicho kitu yeye kaanza kukifanya lini kwako hakiwezi kuwa kipya???

Nimekubali kuwa aya mambo yapo toka enzi na ndo maana mungu aliamua kutumia manabii ili kuyapunguza lakini pamoja na jitihada zilizofanywa na zinazoendelea kufanywa bado wenzetu maproducer, maActor na maActress wa Hollywood wameamua kuungana na kutumia vipaji vyao na kwa kupitia teknolojia kutuaminisha kuwa Yale yaliyopingwa kale ni sahihi kuyafanya.

Kupinga ukweli hakufanyi uongo uwe sahihi najua wewe mwenyewe kwa nafsi yako unajua kipi ni sawa na kipi sio sawa bila kujali ni watu wangapi wanakifanya.
 
Usiangalie kukera tu Bali jaribu kuangalia na usahihi wa jambo tuliumbwa jinsia mbili tofauti ili kutegemeana kwa hiyo mapenzi ya jinsia moja ni kwenda tofauti na uhalisia.
Sawa. Hakuna namna ya kukusaidia!
 
Back
Top Bottom